Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 20,968
- 46,626
JamiiForums Legends of ALL TimeHHahahHa mbona sijauona? Uko jukwaa gani?
na jina lako limetajwa huko
JamiiForums Legends of ALL TimeHHahahHa mbona sijauona? Uko jukwaa gani?
Ilaa kheir muhimu uzima majukumu ndio kila kitu kwa udhuru huo hakuna atakae kulalamikiaKheir kabisa kaka ,hata mimi nawamiss sana ila majukumu yamebana sana.
Aiseeeee ngoja niende chap asante dear.
Mi si mswahili ka we mswahili kivyakoHivi ni sikulupukagi au sikurupukagi hata mi na hofu na elimu yako nafikiri pia kipindi cha somo la kiswahili ulikua ukilikwepa.
Sent from my Vodafone 785 using JamiiForums mobile app
Mi si shabiki wa city kuhusu pep kawaambie wana citykweli bado mtoto unaiuliza manchester ya 2008? na ya 99/2000 iliyobeba treble?
kisha utakuja kuuliza barcelona ya 2011had 2013 ipo?
au hujui mpira una transition yake na vizazi vyake?
punguza hasira na chuki tatizo mnapigwa sana na hiyo unayoiita united of manchester utapumua siku ukishinda 10-0
huyo pep mwaka jana hakuwepo? alibeba nini?
mpuuze huyo ashakata tamaa kama lacazatte
Aisee sihangaiki kubishana na wewe ni sawa na kujipotezea muda bure.Mi si mswahili ka we mswahili kivyako
Asee akili yako inaendana na id na avatar yako
Mi si shabiki wa city kuhusu pep kawaambie wana city
Unataka kujilinganisha na barca?
Eti barca hadi 2013!!! Unaikumbuka barca ya 2015 ww?
Barca kakuacha mbali sana kisoka
Kakupiga fainali zote mbili za UCL na kibabu chako fergie
Barca haijazikwa Kama ww.Ipo kwenye ubora wake
ENDELEA KUSHANGILIA UUZWAJI WA JEZI
Tunapotezeana muda kwa sababu IQ zetu haziendaniAisee sihangaiki kubishana na wewe ni sawa na kujipotezea muda bure.

Mambo gani binafsi nimeweka?Napata shida sana kuona unavotapatapa. Unaonesha dhaili jinsi ambavo hujiamini..Jaribu kuishi maisha yako huko na Timu yako Arsenal..
Ukifuatilia ya Huku utaishia kuandika kwa jazba siku zote mambo yasiyo husu timu yako. Ni vizuri ungekuwa unachambua soka kitaalamu bila kuweka mambo yako binafsi.
Haiya..Nenda kAkazwe Toto.Tunapotezeana muda kwa sababu IQ zetu haziendani
Huna pointi za msingi na hoja zimekuisha
Kaa chini,fanya mambo yako na pambana na hali yako
Enjoy your day!!!!
Halla![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Naona unaanza kutukana mzee naniHaiya..Nenda kAkazwe Toto.

Tushakupuuza sisi we hangaika ukitoka hapa nenda kule madrid![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Si lukaku?
Mtu aliyecheza dakika zote EPL lakini mmhhh!!!!!!
Faida ya kumtema Rooney ipo wapi si bora mngebaki naye awafungie mabao
Kazi kununua viazi ka ibra na wachezaji msiojua kuwatumia ka miki
Usamfananishe lakanyavu na mikubwa jinga
PUNGUZENI KUPAYUKA NA KUTALK NONSENSE
Mi si shabiki wa city kuhusu pep kawaambie wana city
Unataka kujilinganisha na barca?
Eti barca hadi 2013!!! Unaikumbuka barca ya 2015 ww?
Barca kakuacha mbali sana kisoka
Kakupiga fainali zote mbili za UCL na kibabu chako fergie
Barca haijazikwa Kama ww.Ipo kwenye ubora wake
ENDELEA KUSHANGILIA UUZWAJI WA JEZI
Utapenda sana na vipigo vipo constant kama painimependa hiyo style ya nyusi.
Wasiwasi wangu ni kwamba huyu Mkhitaryan anaweza kutoka akaenda kuwa moto wa kuotea mbali chini ya kocha mwingine. Mfano hai ni KDBTetesi
Meneja wa United Jose Mourinho pia yuko tayari kumuuza kiungo wa kati wa Armenia Henrikh Mkhitaryan, 28, majira ya joto na anataka kumnunua kiungo wa Arsenal na Ujerumani Mesut Ozil, 29, kujaza nafasi yake. (Daily Mirror)
Kila kocha anafalsafa zake sio lazima kila mchezaji afit kwenye hizo falsafa.fergson aliwahi kusema kunawakati kocha inabidi ile hali ya kibinadam imuondoke katika kufanya maamuziWasiwasi wangu ni kwamba huyu Mkhitaryan anaweza kutoka akaenda kuwa moto wa kuotea mbali chini ya kocha mwingine. Mfano hai ni KDB