Hakika malipo huwa ni hapahapa Duniani huyu bwana mkubwa Mourinho amemtesa sana mzee wenger ila na yeye anateswa sana na mtu mmoja anaitwa Guadiola,kama vile haitoshi aliwahi tamka maneno mengi sana ya kashfa juu ya mzee AW.
Jana Pep kajipigia tena mteja wake katika mechi ishirini Mo hajashinda zaidi ya mechi tano hiyo ni tafsiri ya unyonge,hakika namuona mo akikimbilia PSG kumkwepa huyu mbabe wake maana hana namna kwa tafsiri ndogo kama Pep asingekuwa epl maana yake Mo angechukua ubingwa ila hilo kwa msimu huu hawezi.
Arsenal bhana! πππ Nina uhakika Washabiki Wake Wengi Hapa Bongo Wamepitia Mirembe!!!
Hata Liverpool na Chelsea Wanawaza Kushushana Wao Kwa Kwa Wao na sio Kumshusha Manchester!!! Lakini Arsenal Wanawaza Kumshusha Manchester wakati Ndiyo Timu pekee Kwenye Top 6 inayompa Points 6 huyo Manchester.. πππ