RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,749
- 129,470
Manchester City ndio ilikuwa timu ya mwisho kushinda OT......10th September 2016!Nakumbuka ni kama tangu mwaka jana, October 2016 hakuna timu pinzani ilishinda OT.
Manchester City ndio ilikuwa timu ya mwisho kushinda OT......10th September 2016!Nakumbuka ni kama tangu mwaka jana, October 2016 hakuna timu pinzani ilishinda OT.
Mashabiki maandazi bana hawana shukran wala subira kisa wanapresha za kuchana mikeka yao. Mata,lukaku na wengine wanacheza vizuri tu. Ipo siku watu watamlaumu de gea na kuanza sema hana viwango. Hizo bet zinawachizisha sana.
mdada ushawahi kubet????HAwaa wapuuzi tuwakazie j2, watajifu sana na kuona washaiChukua ndoo ya epl.....Manchester City ndio ilikuwa timu ya mwisho kushinda OT......10th September 2016!
![]()
mdada ushawahi kubet????
Hao benfica walienda kufanya nini?![]()
![]()
![]()
![]()
Man Utd anaweza kukutana na Bayern au Juve au Real Madrd au wengine watakaomaliza # 2 kesho wasiotoka England
Wakati Chelsea atakutana na PSG au Barca au washindi wengine wa makundi kesho wasio Waingereza
Mkuu, well said. Agiza soda Lukaku atalipa. GgmuMechi zote lukaku yupo mbele peke yake anapambana na mabek kuwaangushia mipira wakina martial mtu anakwambia lukaku apate majeruh hiv huyo mtu anaitakia mema united?
Kuna watu humu mpira hawaujui hata kidogo lukaku uwepo wake mbele unifanya timu pinzan mabek kutopanda kutushambulia yanabak zone yao kumlinda ambayo ni faida ya kwanza
Mkuu mi mwenyewe naomba hii kitu isitokeeKuna
tetesi watabadilishana na Luke Shaw. Sipendi Shaw auzwe sijui kwanini.
mara ya mwisho ni lini united kufungwa OT
Mau hanaga tabia ya kulea mchezaji.Anaweza akafanya exchange tu maana akili zake anajua yeye tu.Kuna
tetesi watabadilishana na Luke Shaw. Sipendi Shaw auzwe sijui kwanini.
hata dawasco wakitaka kukata maji hawatembelei nyumba hadi nyumba na kufunga mabomba, just wanafunga bomba kuu na nyumba zinakosa maji.
hapo silva na de bruyne ndio wapishi wakubwa, ukikamata hao waliobakia watapata tabu kucheza sababu wao wanataka wapikiwe then wafunge.
hata chelsea mwaka jana walikuwa hivyo, wingback nzuri za moses na Alonso, kina pedro wapo form na costa, ngolo kante, matic, hazard etc ila mourinho alikaba watu wawili tu hazard na matic waliobakia wote wakawa wanazurura tu uwanjani hawajielewi.No bro, it is not so, Manchester city team is good because they are full of movements, ideas and different plans. If you stop one idea they will find other which works.
They can push wing backs and the whole team forward, further up the pitch, it is extremely difficult to defend even for 20 minutes without making mistakes.
hata chelsea mwaka jana walikuwa hivyo, wingback nzuri za moses na Alonso, kina pedro wapo form na costa, ngolo kante, matic, hazard etc ila mourinho alikaba watu wawili tu hazard na matic waliobakia wote wakawa wanazurura tu uwanjani hawajielewi.
kwa macho yako ya kawaida unaona hivyo, ila makocha wataalamu wanaona zaidi yetu, tusubiri mechi tutaona.
Mkuu hawa jamaa hawatabiliki kwa sasa wanasilaha nyingine hazieleweki kazi zake nini? ila kwenye vita unashangaa kuona matumizi yake.Mimi napenda watoke hata sale au suluhu japo ni miujiza kidogo lazima mtu alie paleTimu ipo kwa silva mkuu chunguza vizur