Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Man Utd 0-1 CSKA - 45'
Man Utd 1-1 CSKA - 66'
Man Utd 2-1 CSKA - 67
24852098_10155924052578598_8776500145983823794_n.jpg
 
Imagine:Jose Mourinho a car manufacturer with with Chevrolet.Pep Guardiola a pilot with Etihad Airways.Klopp a bank manager with Standard Chartered and Arsene Wenger a co-pilot with Fly Emirates Airways.Then Antonio Conte is a vulcanizer walking with Yokohama Tyres.Isn't it
 
Kuna mtu hajawahi kucheza hata mpira wa matambara lakini huku mitandaoni anataka amzidi Morinho kwa utaalam. Wabongo balaa.

Mechi zote lukaku yupo mbele peke yake anapambana na mabek kuwaangushia mipira wakina martial mtu anakwambia lukaku apate majeruh hiv huyo mtu anaitakia mema united?

Kuna watu humu mpira hawaujui hata kidogo lukaku uwepo wake mbele unifanya timu pinzan mabek kutopanda kutushambulia yanabak zone yao kumlinda ambayo ni faida ya kwanza
 
Msimu wake wa kwanza epl baada ya kufunga mechi za mwanzoni aliulizwa ameona challenge gani epl.

Jamaa akajibu anapata tabu tu kuendesha gari lake maana ni mfumo tofauti na spain.

Alijiona kwenye soka amemaliza kilicho fuata anakijua
 
Michezo nane ya kwanza ya hatua ya mwisho ya makundi ya klabu bingwa barani ulaya imechezwa usiku huu na jumla ya timu kumi na mbili tayari zimefuzu kwa hatua ya kumi na sita bora.

Katika kundi A Manchester United, wameibuka vinara wa kundi hilo kwa kuwa na alama 15,baada ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya CSKA Moscow, nao Fc Basel wamesonga mbele kwa kwa kuwa na alama 12 baada ya ushindi wa 2-0 ugenini dhidi ya Benfica.

Katika kundi B Bayern Munich wamewachapa Paris Saint Germain, kwa kichapo cha goli 3-1 na Celtic wakafungwa 1-0 na Anderlecht hiyo Psg na Bayern ndio wanafuzu kwa hatua inayofuata huku Celtic, wakishiriki michuano ya Europa ligi.

Atletico Madridi wameshindwa kusonga mbele baada ya kukubali sare ya goli 1-1 na Chelsea ugenini hivyo wanakwenda kushiriki Europa ligi, As Roma, wakawatungua Qarabag Fk, kwa bao 1-0, hivyo katika kundi C ni As Roma na Chelsea ndio wamesonga mbele.

Barcelona, wamemaliza hatua ya makundi bila ya kufungwa baada ushindi wa 2 - 0 Sporting CP, na kumaliza vinara kwa jumla ya alama 14, wakifuatiwa na Juventus wenye alama 11 baada ya kuwachabanga Olympiacos kwa mabao 2-0
 
Mechi zote lukaku yupo mbele peke yake anapambana na mabek kuwaangushia mipira wakina martial mtu anakwambia lukaku apate majeruh hiv huyo mtu anaitakia mema united?

Kuna watu humu mpira hawaujui hata kidogo lukaku uwepo wake mbele unifanya timu pinzan mabek kutopanda kutushambulia yanabak zone yao kumlinda ambayo ni faida ya kwanza
Mashabiki maandazi hao mkuu... Wengine wanamfananisha na pocher morata
 
"Do you want the truth or what do you want? You want the truth," the United boss said, laughing.

"The truth is Eric Bailly, no chance for the weekend. Phil Jones a chance.

"(Marouane) Fellaini a chance, Zlatan (Ibrahimovic) a big chance and (Nemanja) Matic is injured but will play for sure.

"I'm telling the truth. He's injured but he will play for sure. (Michael) Carrick no chance.

"It's the truth, eh? No stories of (Alexandre) Lacazette, David Silva. All the truth."

http://www.skysports.com/football/n...claim-david-silva-could-miss-manchester-derby
 
Opta stats
  • Manchester United are now unbeaten in their last 40 home games in all competitions, their joint-longest run on home soil.
  • Rashford has been directly involved in 14 goals in all competitions for Man Utd this season (8 goals, 6 assists) - just one fewer than he was in 53 games in 2016-17 (11 goals, 4 assists).
  • The Red Devils have conceded more home goals in their four EFL Cup and Champions League games combined (2) than they have in their seven Premier League games at Old Trafford (1).
  • The Russian side have conceded in each of their last 17 Champions League away games, shipping 40 goals in total since a 0-0 draw in Trabzonspor in November 2011.
 
Back
Top Bottom