ISLETS
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 8,118
- 5,368
haka kagoli kaleo bado hakafuti makosa na nafasi anazochezea, ni mzito uwanjani, kuna wakati huwa nalazimika kuaachia mechi njiani sababu yake maana anaboaJamaa ana mchango zaidi ya magoli. Leo kafunga pia kasababisha goli la pili.