Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wadau muangalieni vizuri Mata leo ndio mtajua kwanini Mou alimtimua Chelsea na hapa atamkrupusha tu maana kaishapata mbadala wake.

Kwa timu makini tungekua tumeishapigwa 2 na zote chanzo ni Mata.

Hayo mambo ya free player anayotaka aende barca akaungane na mbwambwa mwenzie mesi
 
Wadau muangalieni vizuri Mata leo ndio mtajua kwanini Mou alimtimua Chelsea na hapa atamkrupusha tu maana kaishapata mbadala wake.

Kwa timu makini tungekua tumeishapigwa 2 na zote chanzo ni Mata.

Hayo mambo ya free player anayotaka aende barca akaungane na mbwambwa mwenzie mesi
Kuwa na subira mbona akifanya vizuri huwa mnasahau yote hayo. Anyway sijaona kibaya sana alichofanya.
 
kuna umuhimu wa lukaku kuvunjuka mguu asicheze ligi nzima labda atapata akili maana mzigo hatuna pa kuupeleka
 
kuna umuhimu wa lukaku kuvunjuka mguu asicheze ligi nzima labda atapata akili maana mzigo hatuna pa kuupeleka


23172600_2053574577992973_320572430987780321_n.jpg
 
Back
Top Bottom