lucky lefty
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 491
- 454
Rashford nae akosa goli la wazi
Kuwa na subira mbona akifanya vizuri huwa mnasahau yote hayo. Anyway sijaona kibaya sana alichofanya.Wadau muangalieni vizuri Mata leo ndio mtajua kwanini Mou alimtimua Chelsea na hapa atamkrupusha tu maana kaishapata mbadala wake.
Kwa timu makini tungekua tumeishapigwa 2 na zote chanzo ni Mata.
Hayo mambo ya free player anayotaka aende barca akaungane na mbwambwa mwenzie mesi
Yani huyu lukaku ni mzigo sanakuna umuhimu wa lukaku kuvunjuka mguu asicheze ligi nzima labda atapata akili maana mzigo hatuna pa kuupeleka
na sielewi kwa nini kocha bado anampa nafasi kubwa kiasi hiki wakati kila mechi anaharibuYani huyu lukaku ni mzigo sana
Vp katia nyavuni?Lukakuuuuuuuuuuu
kuna umuhimu wa lukaku kuvunjuka mguu asicheze ligi nzima labda atapata akili maana mzigo hatuna pa kuupeleka
Dah lukaku kakosa goli la wazi kabisa
Wamejirekebisha...two goals in less than 60seconds!Rashford nae akosa goli la wazi
Jamaa ana mchango zaidi ya magoli. Leo kafunga pia kasababisha goli la pili.na sielewi kwa nini kocha bado anampa nafasi kubwa kiasi hiki wakati kila mechi anaharibu



