chafu pozi
Member
- Oct 9, 2017
- 66
- 58
Man u 2 0 Man city
Msimu wake wa kwanza epl baada ya kufunga mechi za mwanzoni aliulizwa ameona challenge gani epl.Jamaa ana mashauzi sana huyu. Huwa anajiona bora sana pumbavu zake.
It was the best move japo De Gea alikua ameshaiona.Kuna ile free kick ya ozil,young aliichungulia alafu faster akajiposition na kuzuia kwa kichwa
De gea is something...Makipa wengi wanaishiaga kudaka kwa macho mipira kama ileIt was the best move japo De Gea alikua ameshaiona.
Hata hivyo huyo ndiye target kubwa...Mimi ningevaa viatu vya Mourinho, ningetumia mbinu zote kumfanya Kevin De Bruyne awe na kesi ya uzururaji ndani ya Uwanja.
Timu ukiona inamnadi Kumuuza Mchezaji ambaye ana Mkataba Mpaka 2021 bila ya Kutanguliza Kipengele cha "NOT FOR SALE".... Basi mnunuzi unatakiwa ufikirie Mara mbili...!
Wazee wa kupaki bus na matairi mmeng'oa kabisa haf mnashangilia ushindi aibu aise
Aisee Lukaku hata asipofunga ile shughuli yake mbele inatosha. Wakati mabeki wanajichosha kuhangaika nae, akina Lingard,Martial wanafunga
Aisee Lukaku hata asipofunga ile shughuli yake mbele inatosha. Wakati mabeki wanajichosha kuhangaika nae, akina Lingard,Martial wanafunga
Well done boys! But hata hivyo Katika Mchezo Wa Jana Kipo Kitu Cha Kukizingatia na Wala Si Cha Kupuuza....
1) Kwanini Arsenal Wapate Shots 13 on target, na 8 off target?
2) Kwanini De Gea awe Man of the Match?
3) Kwanini De Gea Aokoe Mashuti Mengi Zaidi Katika Mechi Moja Kwa Msimu huu?
4) Kwanini Washambuliaji Wa Arsenal Waliruhusiwa Kupiga Mashuti golini Moja Kwa Moja tofauti na Munapozikabili Timu Kama Liverpool, Chelsea na Man city?
Hapo ni Dalili Kuwa Katika Defence Yenu au Mfumo wenu Kulikuwa na Tatizo....
Siku Zote Tatizo la Mabeki au Mfumo Humfanya De Gea Kuwa Shujaa...
Siku hiyo ndio utajua kwanini Mou anaitwa "the special one"Pogba angekuwepo ningekwambia tunawafunga bila tabu. Ila Pogba kufungiwa imenipasa kukiri lolote linaweza kutokea.
City wanafungika....
Siku hiyo ndio utajua kwanini Mou anaitwa "the special one"
Akiwa Chelsea, drogba ana red card na wamefungwa 2-1 first leg na drogba akiwa on fire.
Kilichowakuta 2nd leg barca hawatakisahau.
Kwa hyo anamaanisha waliobaki cyo best?Kwhyo hao aliowafunga maana yake hawana best players so far?
Itakua na akili hyoMechi ijayo ya Uefa namuona matic,herera,rojo,valencia na lukaku wakipumzishwa au kuwekwa sub kusubiri mechi ya city na huku pogba na maktominay wakicheza kati na namba 9 acheze zlatan badala ya lukaku na huku felaini na bailly wakiisubiri hiyo mechi ya city ni maoni yangu tu au nyie wadau mnaonaje....???
Na navyojua morinho hawezi kumuacha benchi lukaku kwenye mechi dhidi ya city labda aumie.
City lazima ake pale OT.