Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Another man of the match performance from a keeper....leo mlikuwa mnapigwa goli kibao kama De gea angekuwa golini, asingeweza kusave zile shots za chini.
 
Another man of the match performance from a keeper....leo mlikuwa mnapigwa goli kibao kama De gea angekuwa golini, asingeweza kusave zile shots za chini.
Ndio adavantage ya kuwa na wachezaji wazuri wengi,tuonane weekend OT
 
Aya yalikua mazoez ya kuvunja daraja pale OT jpili..wajiandae!
 
Kwa lineup tuliyokuwa nayo leo, I would take a draw at any given day....!!

Wachezaji wote walikuwa average ukiondoa kipa, Lindegaard ameproduce some fine saves ila his distribution is woeful.
 
scholes_1375793a.jpg


Ryan Giggs: Paul Scholes is one of a kind .... ..

OOOps nasikia mlicheza leo ... ...
khe khe kheeeeeee ungo wangu ulipata hitilafu Germany,
hivyo nimepoteza baadhi ya ma-files najaribu kuyapata tena ..... . msikonde.
 
Kwa lineup tuliyokuwa nayo leo, I would take a draw at any given day....!!

Wachezaji wote walikuwa average ukiondoa kipa, Lindegaard ameproduce some fine saves ila his distribution is woeful.

That was a stratergic results for Ferg koz alikuwa anaangalia next game na chelsea, then midweek kuna mechi na Leeds na weekend tena kuna mechi nyingine so angewaambia wachezaji wacheze kwa nguvu wangechoka ndo mana ametumia wachezaji wazoefu wengi ili wasipoteze game tu
 
Mnaotukejeli ebu tuambieni mara ya mwisho Man Utd kuanza group stages kwa ushindi ilikuwa lini?
 
Jagu Kazi yenu ni kuzima moto nyumba ya jirani wakati.........[/QUOTE said:
Wee Kijana, hangover ya nane haijaisha?, au unahitaji back up zimamoto.
 
naona fergie anafanya test cross za formula.

jana baada ya gemu SAF aliulizwa na waandishi de gea atacheza kweli jumapili yeye akajibu kwa jazba "..de gea will play on sunday full stop."

na hilo swali limekuja mara tu baada ya kuonekana kipa wa jana ni mkali kuliko de gea..
je wewe kama fan wa manure unasemaje juu ya huyo kipa?..
 
Wee Kijana, hangover ya nane haijaisha?, au unahitaji back up zimamoto.
<br />
<br />
Tatizo mnangenga sana,arsenal can't hold their wins,what about you?,utasikia ooh,game hatukuipa umuhimu!
 
Back
Top Bottom