lucky lefty
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 491
- 454
Uzi umepoa dah bora Mkuu ruta arudi tu
Tunaangalia mechi.Uzi umepoa dah bora Mkuu ruta arudi tu
hahahahah ingekuwa booonge la own goal.Hii bunduki ya Rojo khatari sana tunasema kajinyoosha
Kwan ni mbali basi epl ishafika ...Bus parking Team, man u ndo basi tena toka furgeson aondoke mmekua kama James dalicious ( mabwabwa) Eti ndo mshindane na man city EPL. Asante basel
Mafanikio ya team kwako ni nini labda kuvaa kondomu au ? , Kama makombe kachukua mwaka jana.Siioni Manchester ikipata mafanikio chini ya Mourinho
Relax Mzee United hata akifungwa next game still anaweza kuongoza kundi na hakukuwa na sababu ya ku-risk Pogba acheze dakika 90 kwenye mechi ya leoMie naona Mourinho wakati mwingine anajitakia mwenyewe vipigo.
Unaingiza mingongoti yote inayosubiria kulishwa tu. Zlatan, lukaku, rashford, martial. Then unamtoa mlishaji pogba.
Nyuma kunavuja toka mwanzo umekodoa macho tu. Damian, Blind wote hamna kitu. Thanks to Rojo tungepigwa 3.
Unategemea ushindi kwa bahati ringard?? Badala ya kuingiza wakimbizaji kama Mata??
Felain, matic wote faru tu ukimshika mkia hageuki.
Uza ringard, Uza Damian, Uza blind, Uza mikh. Leta willian na wanariadha wengine wenye mashuti pia.
How unamuanzisha Damian na blind yote mafafa kama sio kutaka Rojo aumie tena???
Wenzio huko wanapiga 3, 4, 5 na ukiwachekea 7. Wewe unasifiwa mingongoti tu - mhxxxxxxx!
Ni kweli kumtoa pogba ni sawa.Relax Mzee United hata akifungwa next game still anaweza kuongoza kundi na hakukuwa na sababu ya ku-risk Pogba acheze dakika 90 kwenye mechi ya leo
Katika mechi 4 za UCL zilizopita Pogba amecheza mechi 1 tu United wamecheza mechi 3 bila Pogba na zote walishinda so wachezaji waliopo wanapaswa kucheza na kushinda hata kama Pogba hayupo. Tunaingia Festival season ambapo kuna mechi nyingi lazima ufanye rotation otherwise ukipata majeruhi msimu unaisha hiyo hiyo DecemberNi kweli kumtoa pogba ni sawa.
Lakini mlishaji mwingine nani?
Hizi mechi ni za kuonyesha combination inayofaa baada ya mazoezi na sio kufanyia mazoezi hapo. Utafikiri timu haifanyi mazoezi???
Kwani psg kamsindilia mtu huko uliona walivyokua wanatiririka as if finale wkt wameisha fuzu.
Timu ina wachezaji wengi lkn mizigo.
Lingard alikua anarukaruka tu utoto kibao.

