Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Key points from Mourinho

That’s your lot from the manager.

Key points:

•Jones out tomorrow and vs Brighton

•Eric Bailly out tomorrow but has a chance for Brighton

•Ibrahimovic to start on the bench
 
Players rested vs Basel

Team news:

•Bailly and Jones out injured

•Valencia, Mata and Young likely left at home

•Ibrahimovic to start on the bench

•Mourinho also said he would make changes. Pogba could get a rest, while Matic and Lukaku have played plenty of minutes.
 
Kwengineko mkufunzi wa Manchester United Jose Mourinho amepigwa jeki kufuatia habari kwamba Bayern Munich wamejiondoa katika kumwania mshambuliaji wa Atletico Madrid Antoine Griezmann, 26. (Daily Star)
 
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Manchester United Andy Cole amietaka klabu yake ya zamani kumzuia mshambuliaji wa Ufaransa Anthony Martial, huku akidai kwamba Marcus Rashford ana uwezo mkubwa wa kuimarika zaidi. (ESPN)
 
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Manchester United Andy Cole amietaka klabu yake ya zamani kumzuia mshambuliaji wa Ufaransa Anthony Martial, huku akidai kwamba Marcus Rashford ana uwezo mkubwa wa kuimarika zaidi. (ESPN)
Sijaelewa kumzuia kivipi yani.
 
Sanchez vp mbona hawamzungumzii??au ndio wenga roho inamuuma sana?kama vp walete jembe lile.
 
Tetesi
DE GEA BADO ANATAKIWA MADRID


Kipa wa Manchester United David de Gea bado ni shabaha nambari moja kwa Real Madrid usajili wa majira ya joto, kwa mujibu wa Cadena SER .
Madrid wanayo nafasi kubwa kumsajili Kepa Arrizabalaga, lakini wanataka kutoa euro milioni 70 kwa ajili ya De Gea kuliko euro milioni 50 kwa ajili ya kipa wa Athletic Bilbao.
 
Tetesi
MKHITARYAN APIGANIA MUSTAKABALI WAKE MAN UTD


Henrikh Mkhitaryan anapambana na hali yake kuokoa kibarua chake Manchester United baada ya kuwa katika kiwango duni siku za hivi karibuni The Sun .
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Armenia alifurahia mwanzo mzuri msimu huu, lakini amekuwa na kiwango duni mwishoni na aliachwa kwenye kikosi kilichoshinda 4-1 dhidi ya Newcastle.
 
Tetesi
MAN UTD NA ARSENAL ZAMWANIA PEREIRA


Manchester United na Arsenal zinamfukuzia kiungo wa Porto Danilo Pereira, limedai gazeti la The Sun .
Klabu zote zimemtupia jicho mshindi huyo wa Euro 2016 na kumekuwa na habari chanya kuwa amerudisha majibu Old Trafford na Emirates.
 
Tetesi
MAN UTD KUJARIBU TENA KUMSAJILI OBERLIN


Manchester United hawajakata tamaa kumsajili mshambuliaji wa Red Bull Salzburg Dimitri Oberlin, kwa mujibu wa habari kutoka TuttoMercatoWeb .
Mchezaji huyo wa miaka 20 ambaye kwa sasa anakipiga kwa mkopo FC Basel, inaaminika kuwa aliwahi kukataa fursa hiyo, lakini miamba wa Old Trafford wanajipanga kutoa euro milioni 5 kumnunua.
 
Tetesi
MADRID KUMSAJILI ALEXIS KWA €30M


Real Madrid wapo tayari kutoa kitita cha €30 milioni kukamilisha dili la uhamisho wa mshambuliaji wa Arsenal Alexis Sanchez Januari, kwa mujibu wa Don Balon .
Sanchez vp mbona hawamzungumzii??au ndio wenga roho inamuuma sana?kama vp walete jembe lile.
 
Jose Mourinho has included Henrikh Mkhitaryan in the Manchester United travelling squad ahead of their penultimate Champions League group game against Basel.

Mkhitaryan was dropped from the United squad for Saturday's Premier League win over Newcastle after a string of poor performances but the 28-year-old could return to the matchday 18 in Switzerland and arrived at Manchester Airport with teammates on Tuesday afternoon.
 
Confirmed squad members

David de Gea

Sergio Romero

Joel Pereira

Axel Tuanzebe

Matteo Darmian

Victor Lindelof

Marcos Rojo

Chris Smalling

Luke Shaw

Daley Blind

Paul Pogba

Scott McTominay

Nemanja Matic

Ander Herrera

Marouane Fellaini

Jesse Lingard

Henrikh Mkhitaryan

Marcus Rashford

Zlatan Ibrahimovic

Romelu Lukaku

Anthony Martial
 
Back
Top Bottom