Achana nae huyo fundi saa.Mkufunzi wa Newcastle Rafael Benitez anasema kuwa kiungo wa kati wa Manchester United Paul Pogba, 24, lazima aonyesha mchezo mzuri kwa miaka 10 ama 15 ili kuweza kufananishwa na mchezaji wa zamani wa Liverpool Steve Gerrard(Daily Star)
Long time no see! Welcome back...Habarini wakuu,hongereni kwa kulisongesha jamvini hapa,so far so good tukaze mwendo tu .
[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG].
Asante kaka Yaani sikutegemea siku za uhai wangu nitakosekana jamvini hapa, majukumu yamebana ila nimewamiss sanaaa...Long time no see! Welcome back...
Hata hivyo, kocha wa Man United, Jose Mourinho hajui atamsajili mchezaji gani kati ya Griezmann au Bale .