radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
yani hapa mourinho kachemka sana anafaham mkhitaryan ktk gem 6 hakuwa na madhara kwa nn usimweke mata no. 10?
Kweli kabisa sijui anafikiria nini Mourinho, Mata yuko poa sana huyu Mik pumzi imekata..yani hapa mourinho kachemka sana anafaham mkhitaryan ktk gem 6 hakuwa na madhara kwa nn usimweke mata no. 10?
Kweli kabisa sijui anafikiria nini Mourinho, Mata yuko poa sana huyu Mik pumzi imekata..
Hii sheria labda umeitunga wewe,game ya juzi kikosi cha Chelsea mwingereza alikuwa Cahill peke yakeMourinho is a shity manager. anaweza harbu mpira na atmosphere nzima ya timu mambo yake yakimpanda kichwani.lakini pia wachezaji wa kingereza wanawacost Sana mwkocha Epl. Ni lazima upange waingerza si chini ya wanne na ni sheria.watoto Kama lingard,watu Kama Smalling,watu Kama handerson Hawa wanacost Sana timu Ila huna namna Kila siku utawakuta kwenye mechi.
Sawa lkn waingereza wawepo ktk team sio team iwe haina muingereza ata mmoja haitakiwiHii sheria labda umeitunga wewe,game ya juzi kikosi cha Chelsea mwingereza alikuwa Cahill peke yake
Hakuna sheria inayosema lazima timu iwe na mchezaji wa kiingereza,sheria inasema lazima timu ziwe na 8 homegown playersSawa lkn waingereza wawepo ktk team sio team iwe haina muingereza ata mmoja haitakiwi
Mtani huyo ↑↑↑ kweli sio Mourinho Alipokuwa Teenage??
😀😀😀
Si unaona Kabisa Kafanana na Huyu ↓↓↓
View attachment 625985






Babu alisepaga na timu yakee. ..akawachia man yao ..ndo hii sasa ilivyo.Tangu aondoke Faguson Mwanitesa United haijawahi kuwa timu nzuri ni maneno ya mashabiki tu ......
Tulizeni mishono *****