Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 3,098
- 5,466
Watu wanachukua vikombe nyie mnachukua vinu... yani badala uchukue UEFA ya wakubwa wenzio unaenda kuchukua Europa ya wachovu.. kama we bora kweli kachukue kombe analoshiriki Barca, Bayern na Madrid...
Kombe ni UEFA na ligi kuu mengine uchafu
Kombe ni UEFA na ligi kuu mengine uchafu
ni kweli hata kombe moja hatujachukua