nakushangaa ww unaesema hazard mbovu kisa goals n assist
ndo maana nimekupa mfano wa best player bila hizo sifa zako watu wanaangalia mchango katka makombe,,mchango ni wa namna nying
Hata om atapigwa tuu hakuna namna kwa sasaa..Na yote hii alikuwa anataka drw ushindi apate hm
Punguza kisirani mkuu,tunajua ww ni mdogo ake Jones,maana alichokuwa anafanyiwa na hazard ni aibu
Kichwaa swafiii.....
Wee jidanganye tuu.City anajitangazia ubingwa mapema mno.
Hana mshindani pale
sasa we kwa akili yako Ozil ni mchezaji mdogo? unajua kwamba Ozil amewazidi kwa assits Xavi+Iniesta combined? Ozil ni mchezaji mkubwa na lazima awepo katika hiyo list lakini siyo hao akina Rashford na Martial yani they have a very long way kufikia uwezo wa Eden Hazardhata ozil yupo ktk hiyo list sio hazard tu
sasa kama Hazard ni mchezaji wa kawaida tutajie wachezaji wa type ya Hazard ambao sio wakawaida pale EPL yani wao wapo juu ya Hazardmi sina hasira mkuu hazard ni mchezaj wa kawaida hilo lipo wazi sio vile mnataka kutulazimisha
Liability izoo ..uzaaaaLukaku na Mkhi kwa sasa wanaigharimu hili.
sasa we kwa akili yako Ozil ni mchezaji mdogo? unajua kwamba Ozil amewazidi kwa assits Xavi+Iniesta combined? Ozil ni mchezaji mkubwa na lazima awepo katika hiyo list lakini siyo hao akina Rashford na Martial yani they have a very long way kufikia uwezo wa Eden Hazard
sasa kama Hazard ni mchezaji wa kawaida tutajie wachezaji wa type ya Hazard ambao sio wakawaida pale EPL yani wao wapo juu ya Hazard
Fenandinho, Silva na yule Haji manara wote hao ukiwahesabu ni wawili...?best team chelsea?????? we wap umejaza wavunja kuni viungo 7 angalia pep kule the best team kat viungo wawili wabunifu
haya ya kwakoFenandinho, Silva na yule Haji manara wote hao ukiwahesabu ni wawili...?
bila ya shaka umeanza kuangalia EPL msimu ama la unataka kuhamisha mada ya kufungwa na mbinu mbovu za Mourinho kupeleka kwenye comparison za wachezaji.aiseeee hapa ni KDB NA SILVA ni shida
Ana rukaruka tuuLukaku man u ni mzigo kama wasira CCM
tuanze na neymar aubila ya shaka umeanza kuangalia EPL msimu ama la unataka kuhamisha mada ya kufungwa na mbinu mbovu za Mourinho kupeleka kwenye comparison za wachezaji.
Eden Hazard ameisaidia Chelsea kuchukuwa EPL mara mbili,Europa League moja na Capital one Cup moja katika misimu mitano aliyokaa Chelsea so far.
Pia amechukuwa tuzo ya mchezaji bora chipukizi wa EPL mara moja na amechukuwa tuzo ya mchezaji bora wa EPL mara moja.
Naomba unambie kuhusu hao watu wako unaosema wanamzidi uwezo kabla sijaenda kwenye magoli,assits,take ons,dribbles,chances created na sector zengine.
City mwenyewe alipata tabu kutufungamkuu kimario kweli tena sasa kama chelsea hii inakufunga isiyo na ubunifu vipi city?
Tutajie mchezaji wa Man United, Ozil hakuhusu...hata ozil yupo ktk hiyo list sio hazard tu
pogbaTutajie mchezaji wa Man United, Ozil hakuhusu...
Swali zuri sana mkuusasa kama Hazard ni mchezaji wa kawaida tutajie wachezaji wa type ya Hazard ambao sio wakawaida pale EPL yani wao wapo juu ya Hazard
City mwenyewe alipata tabu kutufunga