Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Uuuwiiii hii sio mutu ya kawaida ..hii itakuwa ni roboti aisee ...Robot Ngolo...
 
Magoli si kipimo pekee kwa mchezaji aina ya Hazard, angalia majukumu yake mengine. Angekuwa Central striker hapo ningekuelewa
Achana na huyo hajui kz za watu uwanjani


Sie tunajua tuko tumetulia twaangalia kz ya Hazard murua
 
Target ilikuwa EPL ....kwa moto wa city ...ndo basi tena
Mkuu Kna timu 20 znashiriki pale,,,
Timu kama 6 Ukianza na Arsenal,, Liverpool,, Spurs,, Chelsea,,Man City,, na Man Utd zote znapigania ubingwa na nafasi Nne za juu..

Ili Basi uwe bingwa inakupasa kwanza usifanye makosa pindi unapokutana na timu ambazo tunaweza sema avarage ama ndogo kabsa,,
Hicho kitu City ni kama wamekiweza,,
Pili ukikutana na mkubwa mwenzio basi unatakiwa umpunguze speed,, either umfunge ama u-droo
Hiki kitu pia City wamekiweza hadi sasa,,..

Yote hayo ni pamoja na ubora wa kikosi cha City.
Sisi bado kiasi chake Mkuu,,makosa bado mengi,, Baka na AM wangeongeza chumvi kidondani kama wangekuwa makini zaidi..

Ubingwa wa EPL umeshakua mgumu hasa wakati huu ambao PG ypo pale,,, tena akiwa na resources za Kiarabu,, si rahis sana kumshinda,,

Ila cha mhimu kujipanga Wakuu,, nlichogundua ndio maana wachezaji wanagawanywa katika makundi ili hali wanacheza mchezo mmoja,,, PSG sio wendawazimu kuweka mizigo mezani kununu WC Players,, hawa avarage Players ndio wanaigharimu timu,,, Bernado Silva ypo benchi pale city,, Draxler,,Pastore,,Moura,, na hata dgo Rabiot wapo benchi Pale PSG,,, kna Bale nao hawana namba za kudumu huko Bernabeu,, Sie tunataka Kna Mkhi watubebeshe Ubingwa??
SAF's era are Over... Pesa itumike kuleta furaha,,

Other wise [HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
 
Poleni mashabiki wa manyumbu utd kwa hisani kubwa ya galasha lenu Lutako
 
Sijasema majina. Nimesema hivi angalia majukumu ya mchezaji. Isitoshe huwezi kuongea la maana leo maana una depression

ushaanza kuhamisha magoli mpira uchezwe ulaya sijazamini hata maji tz niwe na depression upo sawasawa? turud kwenye mada hamna mahali tumezungumzia majina jamaa yako kaelewa sema umedandia mada tunazungumzia ukawaida wa mchezaj sio anavyokuzwa hakuna mahali nimeandika hatimizi majukumu yake unaweza kunionesha nilipoandika hatimiz majukum yake?
 
hazard nae mchezaji na ww? kawazid wa kina martial na rashford ubingwa wa epl na kujirusha tu pale chelsea mchezaj mlie nae ni cante tu
punguza mihemko ya kike upeo wako naona hauko sawa unamfananisha hazard na wakina martial na rashford
 
Kwa mwendo huu Taji la EPL msimu huu tusahau
Kuchukua ligi tena labda mpka babu fargie arudi
la sivyo sahau kabisa.

Dah basi tena, tumenyang'anywa 3 points hivi hivi

wewe ulitaka uzipeleke wapi..
Tunayekimbizana nae ni moto wa gas mkuu..

Tuna timu nzuri ila kocha sijui mipango yake
Hahaha na bado ujakutana naye

mi mwenyewe nshakata tamaa kitendo cha kuruhusu kufungwa na timu mbovu bado tunahitaj kuijenga timu ubingwa hamna
Ukiona hizo "timu mbovu" zinakufunga basi ujue wewe ni m'bovu zaidi ...bado una safari ndefu sana kuijenga timu lako
 

kabisa mkuu ukifungwa na timu mbovu jua bado ni mbovu nakubaliana na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…