radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Nov 5, 2017 #79,241 pasm said: Kuhusu mechi ijayo usiiongelee kabisa. Naweza nikakuchezea mpira zaidi ya huu na nikakupiga za kutosha. Click to expand... kalale mkuu ushapiga faru john nn
pasm said: Kuhusu mechi ijayo usiiongelee kabisa. Naweza nikakuchezea mpira zaidi ya huu na nikakupiga za kutosha. Click to expand... kalale mkuu ushapiga faru john nn
Southern Highland JF-Expert Member Joined Mar 22, 2017 Posts 15,924 Reaction score 27,165 Nov 5, 2017 #79,242 radika said: hazard nae mchezaji na ww? kawazid wa kina martial na rashford ubingwa wa epl na kujirusha tu pale chelsea mchezaj mlie nae ni cante tu Click to expand... We jamaa unanifurahisha sana. Ila kawaida yenu bhana. Hii yote baada ya kufungwa
radika said: hazard nae mchezaji na ww? kawazid wa kina martial na rashford ubingwa wa epl na kujirusha tu pale chelsea mchezaj mlie nae ni cante tu Click to expand... We jamaa unanifurahisha sana. Ila kawaida yenu bhana. Hii yote baada ya kufungwa
Southern Highland JF-Expert Member Joined Mar 22, 2017 Posts 15,924 Reaction score 27,165 Nov 5, 2017 #79,243 radika said: kalale mkuu ushapiga faru john nn Click to expand... Hahaa.. Mi nalala kwa amani we unalala kwa stress usingizi hupati
radika said: kalale mkuu ushapiga faru john nn Click to expand... Hahaa.. Mi nalala kwa amani we unalala kwa stress usingizi hupati
Upepo wa Pesa JF-Expert Member Joined Aug 8, 2015 Posts 21,786 Reaction score 35,747 Nov 5, 2017 #79,244 lukesam said: Mkuu hivi unamjua Dimitar Berbatov kweli? Yule miguu yake ilikuwa na vinasa mpira, usimfananishe kabisa! Click to expand... Alikua anapiga chenga?
lukesam said: Mkuu hivi unamjua Dimitar Berbatov kweli? Yule miguu yake ilikuwa na vinasa mpira, usimfananishe kabisa! Click to expand... Alikua anapiga chenga?
fablo can JF-Expert Member Joined May 25, 2016 Posts 1,222 Reaction score 1,267 Nov 5, 2017 #79,245 radika said: kweli sisi bado kama tunafungwa na litimu libovu kama hili li chelsea city tutamuweza kweli Click to expand... Timu bovu kweli kweli...msimu uliyopita alikukaza 4 darajani akakudungua tena ka moja leo tena kapiga ka moja tu.....possesion inasoma ngapi.
radika said: kweli sisi bado kama tunafungwa na litimu libovu kama hili li chelsea city tutamuweza kweli Click to expand... Timu bovu kweli kweli...msimu uliyopita alikukaza 4 darajani akakudungua tena ka moja leo tena kapiga ka moja tu.....possesion inasoma ngapi.
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Nov 5, 2017 #79,246 pasm said: We jamaa unanifurahisha sana. Ila kawaida yenu bhana. Hii yote baada ya kufungwa Click to expand... mkuu ntajie misimu mi 3 ambayo hazard kawa kwenye form katupia goli zaid ya 15 au hata 10 na assist 10 tukikwambia ni mchezaj wa kawaida usikatae
pasm said: We jamaa unanifurahisha sana. Ila kawaida yenu bhana. Hii yote baada ya kufungwa Click to expand... mkuu ntajie misimu mi 3 ambayo hazard kawa kwenye form katupia goli zaid ya 15 au hata 10 na assist 10 tukikwambia ni mchezaj wa kawaida usikatae
Upepo wa Pesa JF-Expert Member Joined Aug 8, 2015 Posts 21,786 Reaction score 35,747 Nov 5, 2017 #79,247 Mussolin5 said: Huyo atakuwa kahadithiwa tu kuhusu Berbatov naamini hajamuona huyo fundi!! Click to expand... Usiseme nimehasiwa mkuu, jamaa anasema lukaku hajui kupiga chenga na mimi nikamuuliza barbertov alikua anajua kupiga chenga??
Mussolin5 said: Huyo atakuwa kahadithiwa tu kuhusu Berbatov naamini hajamuona huyo fundi!! Click to expand... Usiseme nimehasiwa mkuu, jamaa anasema lukaku hajui kupiga chenga na mimi nikamuuliza barbertov alikua anajua kupiga chenga??
fablo can JF-Expert Member Joined May 25, 2016 Posts 1,222 Reaction score 1,267 Nov 5, 2017 #79,248 RRONDO said: Leo ndio tumecheza hovyo kuliko siku zote msimu huu Click to expand... Mlianza na moto wa mabua....mkaanza kutamba 4G. Ohooo sijui zimeyeyukia wapi 4G
RRONDO said: Leo ndio tumecheza hovyo kuliko siku zote msimu huu Click to expand... Mlianza na moto wa mabua....mkaanza kutamba 4G. Ohooo sijui zimeyeyukia wapi 4G
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Nov 5, 2017 #79,249 fablo can said: Timu bovu kweli kweli...msimu uliyopita alikukaza 4 darajani akakudungua tena ka moja leo tena kapiga ka moja tu.....possesion inasoma ngapi. Click to expand... kufungwa sio kwamba mzur barcelona alipigwa 5 na bilbao kwenye ubora wake madrid kapigwa 1 na betis kwake je ni timu nzur?
fablo can said: Timu bovu kweli kweli...msimu uliyopita alikukaza 4 darajani akakudungua tena ka moja leo tena kapiga ka moja tu.....possesion inasoma ngapi. Click to expand... kufungwa sio kwamba mzur barcelona alipigwa 5 na bilbao kwenye ubora wake madrid kapigwa 1 na betis kwake je ni timu nzur?
Southern Highland JF-Expert Member Joined Mar 22, 2017 Posts 15,924 Reaction score 27,165 Nov 5, 2017 #79,250 radika said: mkuu ntajie misimu mi 3 ambayo hazard kawa kwenye form katupia goli zaid ya 15 au hata 10 na assist 10 Click to expand... Wewe nitajie mchezaji yoyte aliyefanya ivyo..
radika said: mkuu ntajie misimu mi 3 ambayo hazard kawa kwenye form katupia goli zaid ya 15 au hata 10 na assist 10 Click to expand... Wewe nitajie mchezaji yoyte aliyefanya ivyo..
sergio 5 JF-Expert Member Joined May 22, 2017 Posts 9,731 Reaction score 11,122 Nov 5, 2017 #79,251 kisu cha ngariba said: Lingard Click to expand... Bangi mbaya sana hazard akija man u anacheza mamba zote hadi yule kahaba de gea benchi
kisu cha ngariba said: Lingard Click to expand... Bangi mbaya sana hazard akija man u anacheza mamba zote hadi yule kahaba de gea benchi
sergio 5 JF-Expert Member Joined May 22, 2017 Posts 9,731 Reaction score 11,122 Nov 5, 2017 #79,252 Lukaku man u ni mzigo kama wasira CCM
Kisu Cha Ngariba JF-Expert Member Joined Jun 21, 2016 Posts 22,133 Reaction score 48,851 Nov 5, 2017 #79,253 sergio 5 said: Bangi mbaya sana hazard akija man u anacheza mamba zote hadi yule kahaba de gea benchi Click to expand... Matusi ya nini mzee?
sergio 5 said: Bangi mbaya sana hazard akija man u anacheza mamba zote hadi yule kahaba de gea benchi Click to expand... Matusi ya nini mzee?
sergio 5 JF-Expert Member Joined May 22, 2017 Posts 9,731 Reaction score 11,122 Nov 5, 2017 #79,254 kisu cha ngariba said: Matusi ya nini mzee? Click to expand... Unavyolinganisha Lingard na hazad sio matusi?
kisu cha ngariba said: Matusi ya nini mzee? Click to expand... Unavyolinganisha Lingard na hazad sio matusi?
lukesam JF-Expert Member Joined Feb 23, 2015 Posts 13,198 Reaction score 28,080 Nov 5, 2017 #79,255 Mussolin5 said: Mou hata akikaa miaka kumi Man Utd hawezi kutupa taji la EPL Click to expand... Kocha wa ajabu sana Rutashubanyuma said: Mikhi, Rashford, Lukaku na Herrera walidumaa mno Click to expand... Herrera umemuonea sana, labda kama haujatazama mechi, hakuna mchezaji amejituma leo kama Herrera ameokoa sana magoli
Mussolin5 said: Mou hata akikaa miaka kumi Man Utd hawezi kutupa taji la EPL Click to expand... Kocha wa ajabu sana Rutashubanyuma said: Mikhi, Rashford, Lukaku na Herrera walidumaa mno Click to expand... Herrera umemuonea sana, labda kama haujatazama mechi, hakuna mchezaji amejituma leo kama Herrera ameokoa sana magoli
Kisu Cha Ngariba JF-Expert Member Joined Jun 21, 2016 Posts 22,133 Reaction score 48,851 Nov 5, 2017 #79,256 sergio 5 said: Unavyolinganisha Lingard na hazad sio matusi? Click to expand... Matusi gani? Jiheshimu mzee, uku sio sehemu ya matusi .
sergio 5 said: Unavyolinganisha Lingard na hazad sio matusi? Click to expand... Matusi gani? Jiheshimu mzee, uku sio sehemu ya matusi .
sergio 5 JF-Expert Member Joined May 22, 2017 Posts 9,731 Reaction score 11,122 Nov 5, 2017 #79,258 kisu cha ngariba said: Matusi gani? Jiheshimu mzee, uku sio sehemu ya matusi . Click to expand... Lingard hampati hata ajibu alfu unamlinganisha na malaika
kisu cha ngariba said: Matusi gani? Jiheshimu mzee, uku sio sehemu ya matusi . Click to expand... Lingard hampati hata ajibu alfu unamlinganisha na malaika
lukesam JF-Expert Member Joined Feb 23, 2015 Posts 13,198 Reaction score 28,080 Nov 5, 2017 #79,259 Mussolin5 said: Huyo atakuwa kahadithiwa tu kuhusu Berbatov naamini hajamuona huyo fundi!! Click to expand... Ndio maana nikapata mashaka kama anamjua.. Sijui ndio anataka kusema alikuwa kama lukaku ambaye akipewa pasi tu unapata mawazo ya atautuliza vipi
Mussolin5 said: Huyo atakuwa kahadithiwa tu kuhusu Berbatov naamini hajamuona huyo fundi!! Click to expand... Ndio maana nikapata mashaka kama anamjua.. Sijui ndio anataka kusema alikuwa kama lukaku ambaye akipewa pasi tu unapata mawazo ya atautuliza vipi