Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
huda haikupi changamoto brother mayoutongkati ya timu ambazo sizihofii ni spurs timu inayonipa upinzani mkubwa epl ni Liverpool wengine wanatoa changamoto tu
huda haikupi changamoto brother mayoutong
Kwani nyie mlivyokuwa mnafurahi tulivyofungwa mlikuwa mnaenda kuchukuwa kombe?😀kufungwa kwa united mashabik wa chelsea mmefurahi balaa kama mnaenda kuchukua kombe vile
Kwani nyie mlivyokuwa mnafurahi tulivyofungwa mlikuwa mnaenda kuchukuwa kombe?😀
Kuanzi gemu na liva manchester wameanza kuzingua, hua najiskia kichefchefu ata kuwaangalia, hata hiyo gemu ya uefa tulishinda kibahati tu, morinho si kocha ni mbabaishaji tu
Kuanzi gemu na liva manchester wameanza kuzingua, hua najiskia kichefchefu ata kuwaangalia, hata hiyo gemu ya uefa tulishinda kibahati tu, morinho si kocha ni mbabaishaji tu
Kuanzi gemu na liva manchester wameanza kuzingua, hua najiskia kichefchefu ata kuwaangalia, hata hiyo gemu ya uefa tulishinda kibahati tu, morinho si kocha ni mbabaishaji tu
Liverpool anakupa upinzani mkubwa katika nini?kati ya timu ambazo sizihofii ni spurs timu inayonipa upinzani mkubwa epl ni Liverpool wengine wanatoa changamoto tu
Tutajie huyo kocha anaefaa basi..
Liverpool anakupa upinzani mkubwa katika nini?
Kugombea ubingwa?
Mnapokutana au?
Naomba jibu tafadhali Liverpool anakupa upinzani katika nyanja ipi?Unauliza hayo?
Maskini kipigo cha jana kishaanza kuwatia uchizi baadhi yenu😀subutuuu mi siwezi akufurah chelsea kifungwa na crystal palace au burnley mana ni sawa na kushangilia mwadui akimfunga ndanda wakat wote level moja furaha yangu mm nimfunge liverpool au afungwe
YANI WW NDIO CHIZI LAWAPI SIJUIHii ndio dawa na fundisho kwa mourinho aache kumfananisha Rashford na takataka Marrtial au Mata na takataka Mkhitaryan. Unamtoa Mata eti Mkhitaryan azibe pengo lake????? Maajabu