Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_2017-10-18-23-28-22.png
 
Mchezaji mmoja wa Benifica katoka damu kichwani. Na kwa mjibu wa shabiki mwenzagu bandani hapa, timu ambayo mchezaji atatoa damu uwanjani, hushinda. Ngoja nione kama uchawi huu utashinda.

bila shaka matokeo ya mwisho yamekupa jibu sahihi kuwa hakuna kitu kama hiko!!tukio maarufu zaidi la mchezaji kuumia kichwa lilikuwa la Terry Butcher wa Uingereza ambapo walitoka droo 0-0 na Sweden!Hivyo hakuna kitu kama hicho labda mechi za ndondo!!
 
Back
Top Bottom