Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,501
- 911,251
Mchezaji mmoja wa Benifica katoka damu kichwani. Na kwa mjibu wa shabiki mwenzagu bandani hapa, timu ambayo mchezaji atatoa damu uwanjani, hushinda. Ngoja nione kama uchawi huu utashinda.