Mou alienda Liverpool ili ASIFUNGWE tu! Mou anaamini atachukua maximum points nyingi kwa timu ndogo, hivyo asipofungwa na timu kubwa atachukua ubingwa. Home games na timu kubwa atahakikisha tunashinda,ila away atafanya mbinu yoyote tusifungwe...walisema kwamba hatutamiss pogba lknykweli ni kwamba tunamuhitaji sana huyu jamaa..especially kwny match kubwa kamahii ya liverpool..leo midfield ywtuilikuea imekufa kabisa yan..mipira haiendi mbele!
Atacheza hivi tena away vs man city. Wengine wote waliobaki hatacheza hivi. Kumbuka msimu uliopita.Kama tukikutana timu zinazoitwa kubwa ndo tunacheza vile, ubingwa haupo
Vijana wetu wawili Zaha na Cleverly wamefanya mambo mazuri weekend hii...
Jana Zaha alikuwa na speed ya ajabu sanaTuwaangalie wasije kutuvua nguo tukikutana nao waliuzwa kubabe hawakupenda
Teeh te tee tee tee mbavu zanguMashabiki wa Chelsea na Arsenal wakikatiza kwenyw uzi wetu
Anajisahaulisha huyo,Mmefungwa na Crystal Palace
Wewe kama Stoke city alikutoa jasho. .Tottenham utamweza kweli? Mkuu usiangalie historia, kwa sasa haina nafasi ..kikosi cha spurs kipo imara kuliko hicho cha liver unachokiogopa. Me nakuhakikishia kikosi cha man u bado hakijiamini kabisa.
Mkuu tukumbushe na ya crystal palace unatunza vizur kumbukumbuStoke city alitoa dro 2-2 na man u lakini akala 4 kwa Chelsea.
Mpira hautabiriki kabisa.
Naona jana bingwa chelsea alikuwa anacheza fiesta safiJipe moyo tu! nyie endeleeni kucheza bonanza mje kujisifia humu, man city yupo pale juu ameshacheza na liva, chelsea yupo pale ameshacheza na tot na arse888, we upo pale umecheza na westham alafu unajicfia ..........
amesahau jana tu....atakuwa anavuta huyo...sio bureeeMkuu tukumbushe na ya crystal palace unatunza vizur kumbukumbu
Content controller hebu bandika zako umpe demoMkuu we acha tu tumeongelea sana kuhusu ilo swala jamaa haelewi hadi tumeamua tu kukaa kimya.
.......JF ni supermarket ya news. Zipo tuzipendazo na zipo habari hatuzipendi. Ni kazi kwetu kuchagua zipi za kuchukua zipi za kuacha.......
Hata mimi pia, huwa napataga mateso maana mpira ukielekeaga upande wake lazimika kubinya m.a.p.u. m.b.u.u mpaka upite.Wakuu m simuamin smaliing kabisa
Hata mimi pia, huwa napataga mateso maana mpira ukielekeaga upande wake lazimika kubinya m.a.p.u. m.b.u.u mpaka upite.
Huwa nakosaga amani kabisa akiwa ndani. Akiingia hata mitungi naacha kupiga hadi atoke