Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Majeruhi Manutd inao wengi lakini ni Fellaini na Pogba ndiyo yenye mtikisiko kwa timu
Teh teh teh! Liverpool no longer a BIG CLUB is just another middle of the table club struggling or pretending to belong with the BIG BOYS!kuna baadhi ya kauli mtu akizungumza ni bora akutukane moja kwa moja
What's great about our many years of success is our young fans can't remember a time Liverpool were any good" - Sir Alex Ferguson
![]()
Sijui kwann wanataka kukupangia awajui wengine runabuludika na ndio maana ukiondoka tunakumiss... Nazani ao nimalimbukeni wachache wakupuuzwaPokea like ila kwenye huu uzi ni bingwa wa mipasho lakini michango ziro hii ni pamoja na huyo unayemshabikia.
Kwenye uzi kila mmoja ana michango yake na si kila michango hupendeza kila mtu.
Kumezea ni busara pevu. Posts zangu humu hazitaathirika na madongo ya yeyote yule.
Upepete ila mimi kila siku humu ni kupost nitakacho. Kama ni idadi ya posts au likes sihitaji kuwemo humo ziko nyuzi stahiki kwa hayo.
Put up or simply shut up!
Ni wivu. Ukiona mtu anaongelea likes na posts badala ya maendeleo ya Manutd ujue ana sheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeda!Sijui kwann wanataka kukupangia awajui wengine runabuludika na ndio maana ukiondoka tunakumiss... Nazani ao nimalimbukeni wachache wakupuuzwa