Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Martial swafi kwa counter ndiyo maana ninamchagua ili kuongeza mibadala ya kugawa mipira ya long balls na kuwafanya mabeki Wa Liverpool wasiwamaki sana Lukaku na Rashford.
 
Sijui niisujudu historia au ndo historia wanasema ipo ili ivunjwe ?...anyway ngoja nimepita mara moja kuwasalimia kidogo nimalizane na mhindi kwanza kivyangu ndo ntajua kipi ni kipi

Ila chapchap wazee wa dozi kumbuka mechi inachezwa mapema unaweza kumaliza mpira na wkend ikawa imeisha ukatamani j3 kesho
 
Kipaumvele chake ni kuongoza Jf nzima kwa wingi wa post na like

Sijui kuna tunzo atapewa
Pokea like ila kwenye huu uzi ni bingwa wa mipasho lakini michango ziro hii ni pamoja na huyo unayemshabikia.

Kwenye uzi kila mmoja ana michango yake na si kila michango hupendeza kila mtu.

Kumezea ni busara pevu. Posts zangu humu hazitaathirika na madongo ya yeyote yule.

Upepete ila mimi kila siku humu ni kupost nitakacho. Kama ni idadi ya posts au likes sihitaji kuwemo humo ziko nyuzi stahiki kwa hayo.

Put up or simply shut up!
 
Back
Top Bottom