mo courtinho
Senior Member
- Mar 18, 2017
- 198
- 145
tutashinda mkuu....coz ile man u iliyopita sio hii bob na tulisuruhu na liver HOME & AWAY
Fellain bado anauguza majeraha, Lukaku yuko vizuri, bila shaka atacheza...Majeruhi Fellaini na Lukaku vipi wamepona?Litakuwa pengo kubwa ila hatutakosa walau point moja Anfield
Pengo LA Fellain linaweza kuzibwa na mkongwe Carrick au Herreira.Fellain bado anauguza majeraha, Lukaku yuko vizuri, bila shaka atacheza...
Lukaku,hata mechi ya mwisho ya Ubelgiji,alicheza,na alifunga goli!Fellain bado anauguza majeraha, Lukaku yuko vizuri, bila shaka atacheza...
Carrick anatajwa kuwa moja ya majeruhi. Herreira atahusika. Hata hivyo, Fellain ni pengo kubwa hasa kwa siku za hivi karibuni ameisaidia sana timu yetu kupata matokeo mazuri...Pengo LA Fellain linaweza kuzibwa na mkongwe Carrick au Herreira.
KweliLukaku,hata mechi ya mwisho ya Ubelgiji,alicheza,na alifunga goli!
Fellain amerudi kwenye kiwango chake.Sasa katikati Liver ni wazuri watatuvuruga hadi basi.Pogba vipi?Carrick anatajwa kuwa moja ya majeruhi. Herreira atahusika. Hata hivyo, Fellain ni pengo kubwa hasa kwa siku za hivi karibuni ameisaidia sana timu yetu kupata matokeo mazuri...
Pogba bado anaugulia majeraha. Pengo kubwa sana. Liverpool watataka kuzindukia kwetu, ni mechi ngumu.Fellain amerudi kwenye kiwango chake.Sasa katikati Liver ni wazuri watatuvuruga hadi basi.Pogba vipi?
Pogba bado majeruhiFellain amerudi kwenye kiwango chake.Sasa katikati Liver ni wazuri watatuvuruga hadi basi.Pogba vipi?
Itakuwa mechi ngumu sana na kipimo kizuri kwa Man U kwani haijakutana na hivi vigogo Arsen,chels,Man City,Tot,nkPogba bado anaugulia majeraha. Pengo kubwa sana. Liverpool watataka kuzindukia kwetu, ni mechi ngumu.
Hivi match ni saa ngapi?East Africa Timetutashinda mkuu....coz ile man u iliyopita sio hii bob na tulisuruhu na liver HOME & AWAY
Uko sahihi usemacho. Mechi ngumu sana hii japo sio kipimo cha mwisho hata kama hatutapata matokeo tuliyoyazoea kwa msimu huu tangu uanze. Timu zote tulizocheza nazo bila kujali si" one of the top 4 or 6" bado tunapaswa kuzipa heshimaItakuwa mechi ngumu sana na kipimo kizuri kwa Man U kwani haijakutana na hivi vigogo Arsen,chels,Man City,Tot,nk
2:30 EATHivi match ni saa ngapi?East Africa Time
Ok thanks2:30 EAT
You are welcomeOk thanks
Haa haa.Tabiri matokeo tucheze mkeka hapa hapa.........Uko sahihi usemacho. Mechi ngumu sana hii japo sio kipimo cha mwisho hata kama hatutapata matokeo tuliyoyazoea kwa msimu huu tangu uanze. Timu zote tulizocheza nazo bila kujali si" one of the top 4 or 6" bado tunapaswa kuzipa heshima
Nimecheka pia mkuuHaa haa.Tabiri matokeo tucheze mkeka hapa hapa.........
mkuu. Mimi nitatabiri kiunazi. Liverpool 0 Manchester United 2.Haa haa.Tabiri matokeo tucheze mkeka hapa hapa.........
Carrick hayuko fitiPengo LA Fellain linaweza kuzibwa na mkongwe Carrick au Herreira.
Yule jamaa mpira anaujua.Huwezi kumuona sana uwanjani ila anafahamu sana kutibuaCarrick hayuko fiti