radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Point mechi 3 looooo mnawatia aibu wenzenu bana
WalibetiDefence (Bailly & Jones) leo imeruhusu magoli ya kizembe,hii ilikuwa game ya kuchezesha 3 CBs
Hahah mashetani zirooooooo
Liverpool imefungwa tano bila hakuna anayejali..
Chelsea alianza ligi kwa kubugizwa tatu hakuna aliyejali..
Arsenal alichabangwa nne bila kama amesimama, hakuna aliyejali..
MUFC kalazimishwa sare ugenini kuna watu wanafanya sherehe na kukesha huku wakicheza muziki..
Ninaposema timu nyingine hazina mashabiki bali zina wenye chuki na MUFC huwa namaanisha!
Na wale mashetani wa cheusi chekundu wakakutana na vijana wasiojulikana bet365stadium. Guess what happened
Liverpool imefungwa tano bila hakuna anayejali..
Chelsea alianza ligi kwa kubugizwa tatu hakuna aliyejali..
Arsenal alichabangwa nne bila kama amesimama, hakuna aliyejali..
MUFC kalazimishwa sare ugenini kuna watu wanafanya sherehe na kukesha huku wakicheza muziki..
Ninaposema timu nyingine hazina mashabiki bali zina wenye chuki na MUFC huwa namaanisha!