fablo can
JF-Expert Member
- May 25, 2016
- 1,222
- 1,267
Kwani mliandikia hati miliki......sizani kama kuna timu mtamfunga 4G tena.dah hawa stock si watu wazuri, yani wameamua tugawane 4g yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mliandikia hati miliki......sizani kama kuna timu mtamfunga 4G tena.dah hawa stock si watu wazuri, yani wameamua tugawane 4g yetu.
Ni kweli mkuu. Ila kuna mashabiki uchwara wanajiona bora kuliko wengine.Sio kweli mkuu msimu uliopita mbona tumebeba Europa na vikombe vya mbuzi kama msemavyo wapinzani. Msimu huu ndo kwanza umeanza am sure hata nyie msimu huu bado hamjapata kikombe chochote
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
penetration pass za man city sio za masihara kabisa, na yule mendy alivyokuwa anapanda ni balaa. Ndo soka mkuu ngoja tusubiri game za UEFA
Kumbuka matokeo yoyote ya united ni faraja na manung"uniko kwa watu. Hii inaonyesha jinsi timu hii ilivyo kubwa siku tukifungwa watalala humu wiki nzimaIts funny how people wanai troll Utd kwa ku draw away na Stoke afu wanaacha mtu kama Liverfool aliyekula hamsaa..
Kweli Utd ni mti wenye matunda..
Sent using Jamii Forums mobile app
Chelsea hawanaga tabia ya kutangaza ubingwa na 3. Inapigana adi tone la mwisho ikitambua kuwa lingi ya uingereza aina mwenyewe......
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mliandikia hati miliki......sizani kama kuna timu mtamfunga 4G tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ivi mmebaki na historia tu. Tumechukua makombe mengi kuliko timu nyingine. We are here for present and not past..hizo tunaziita zilipendwa...Diamond song
Sent using Jamii Forums mobile app
subili uone.Kwani mliandikia hati miliki......sizani kama kuna timu mtamfunga 4G tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama man utd ni QPR umefata nn kwenye Jukwaa la QPR? u know how big the Club is ndio maana umekuja mbio kupostChelsea alivofungwa na barnley dunia nzima ilirindimaa ...maana sio kwa zile kelele zenu, kila baya lilisemwa ..wachambuzi uchwara kama akina Shaffih na wengine waliongea kadri ya uwezo wao. Hata asiye shabiki wa mpira alijua Chelsea imefungwa ..mbaya zaid ni pale arsenal aliposhinda ile ngao ya hisani. ..apo ndo ilikuwa balaa
Sasa nyie kuna watu hata hawajui kama jana mmecheza..man ilishaporomoka siku nyingi sana haina tofauti na QPR au Reading fc.
Sent using Jamii Forums mobile app