Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wabovu tu nyie, taratibu mtaenda kwenye mtaa wenu ........... wenye nafasi zao nao washapanda.

Ajabu wana wanamakombe 6 hao wanaopanda wenye nafas zao sijui inakuaje sasa tena hayo 6 sio mfululizo kuna muda panakuwa pakavu
 
Na ndiyo maana nikasema kwenye Epl hakuna majigambo. Ukifunga Leo kesho utafungwa tu hakuna mwenye hati miliki wa kutofungwa. Ile kasi yenu ya 4 G imepungua kulikoni?

Sent using Jamii Forums mobile app

Nani kafungwa? Mliposhinda goli nyingi msimu ulioisha ndo ulikuwa ushindi wenu had ligi mlimaliza hivyo?
 
Back
Top Bottom