OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Timu ina wachezaji wengi na wanaocheza ni 11,last week watu walianza kulalamika kwa nini Herrera hachezi leo amecheza.
Exactly game ya Leo ilikuwa yakeTimu ina wachezaji wengi na wanaocheza ni 11,last week watu walianza kulalamika kwa nini Herrera hachezi leo amecheza.
Game ya leo ilikuwa inamfaa sana Fellaini
Leo zimekuwa 2 2 badala ya 4G. Kwenye Epl hakuna majigambo. Majoogoo walivyopiga Arsenal last week wakatangaza na ubigwa kabisa leo wamepigwa 5 oc'klock. Man United mechi mbili tayari wamekuwa wa 4G. Leo tumefika nafasi ya 3 kutoka nafasi ya 16.Tatizo mpira mmeanza kuujua 2004 tupe rekod timu iliyoshinda mech zote bila suluhu
Ndo mpira ukikosea tu unalimwa.Defence (Bailly & Jones) leo imeruhusu magoli ya kizembe,hii ilikuwa game ya kuchezesha 3 CBs
Kwa kweli mtajirekebisha.It was a very hard match..Tumejitahidi kiasi..tutarekebisha makosa tuepushe sare nyingi zisizo za lazima..GGMU!! GGMU!! GGMU!!
Ugiligili
4G zimekuwa 2 2. Kelele hakuna.Daah leo mtaani kumetulia sana.
Next weekend pakitulia hivi itakuwa ni raha sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sioni ulichoandika hapo chenga tuLeo zimekuwa 2 2 badala ya 4G. Kwenye Epl hakuna majigambo. Majoogoo walivyopiga Arsenal last week wakatangaza na ubigwa kabisa leo wamepigwa 5 oc'klock. Man United mechi mbili tayari wamekuwa wa 4G. Leo tumefika nafasi ya 3 kutoka nafasi ya 16.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wajirekebishe ki vipi? Kwani mlipotandikwa na burnley nyie mlivimba kichwa na kujiona bora?
Daah leo mtaani kumetulia sana.
Next weekend pakitulia hivi itakuwa ni raha sana.
Sent using Jamii Forums mobile app