Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

The official Manchester City Twitter account reacted instantly to defend Balotelli. "He didn't rise to it." For the record, he did.
 
Nae bana unaogopa ban ya boss wako nini swali lipo kwa .... ...... ..... lakini huwezi kulinganisha na kupigwa (8) I mean manane, eight, natafuta kwa kijapan sijui nane inaitwaje? khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee BTW swali la awali bado hujajibu last time mlipigwa nane ni lini? Nenda kwenye kabrasha kadakue info khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
LMAO timu ambayo ilikuwa imejaza watu kama akina Ginola na kina Barthez na masuperstar wa kifaransa? Au unazungumzia timu ipi?
 
matokeo vp huku kwetu since morning ngeleja kafanya mambo
 
High defensive line kama ya Arsenal wtf?

...duuhhhh? haya bana.

Nawwamkua hapa. Habari za likizo wazee?
Kwema. Haya tuendelee kuelimishana kinachojiri.

Na picha zisikosekane tafadhali.
 
Back
Top Bottom