Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Namuona Clichy yuko anakula upepo wa Sheikh Mansour.
Karibu jamvini
LMAO timu ambayo ilikuwa imejaza watu kama akina Ginola na kina Barthez na masuperstar wa kifaransa? Au unazungumzia timu ipi?Nae bana unaogopa ban ya boss wako nini swali lipo kwa .... ...... ..... lakini huwezi kulinganisha na kupigwa (8) I mean manane, eight, natafuta kwa kijapan sijui nane inaitwaje? khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee BTW swali la awali bado hujajibu last time mlipigwa nane ni lini? Nenda kwenye kabrasha kadakue info khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Namuona Clichy yuko anakula upepo wa Sheikh Mansour.
LMAO timu ambayo ilikuwa imejaza watu kama akina Ginola na kina Barthez na masuperstar wa kifaransa? Au unazungumzia timu ipi?
<br />man city goalllllllll....
High defensive line kama ya Arsenal wtf?