Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_2017-08-21-18-08-54.png
Screenshot_2017-08-21-18-08-45.png
 
Kwann unajichosha kumjibu shabiki wa asinoo au Chelsea? Mashabiki wa asinoo akili zao zipo kwa Wenger wanaendeshwa kama maroboti bila remote control hayaendi.

Mashabiki wa chelsea ni sawa na kubwa jinga linaloishi kwa dada ake, kila kitu anaamua shemeji. (Abrohmovic) hapo hata umuambie dada ako usiku anaumia ili wewe ule hawezi kukuelewa.

Yes am cunt, next question?

Nilikupinga kwa kutaka kulinganisha Chelsea na Arsenal. Wewe umeleta sababu za makombe nikakupinga kwa sababu hiyo. Mkuu record zipo tuu na zipo ili pia zivunjwe sasa kama umekariri ukubwa watimu ndio upo hapo, namimi nakwambia kaa hapo hapo.

Sisi tunaangalia nini unafanya sasa hivi? Boost uwezo wako wa kufikiri akili isiwe DORMANT.
Huko kwenu viroba bado vinauzwa?

Soma kwenye hyo post alafu uniambie wapi nimeifananisha chelsea na asnoo, sio mnakurupuka tu ku qoute kishamba.

Yes am cunt, next question?
 
Back
Top Bottom