Ila waalimu wenzangu wa kwenye mitandao ya kijamii tutunze maneno...Rashford bado mdogo sana na anapitia kwenye kipindi cha mabadiliko.
Pia huyu anapokuwa uwanjani anafanya beki ya timu pinzani haiwi stable....wanamuangalia sana ...sometime ndo inasaidia na magoli.
Mwisho wa siku, tunataka Ushindi kwa timu.
Pia huyu anapokuwa uwanjani anafanya beki ya timu pinzani haiwi stable....wanamuangalia sana ...sometime ndo inasaidia na magoli.
Mwisho wa siku, tunataka Ushindi kwa timu.