Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ila waalimu wenzangu wa kwenye mitandao ya kijamii tutunze maneno...Rashford bado mdogo sana na anapitia kwenye kipindi cha mabadiliko.

Pia huyu anapokuwa uwanjani anafanya beki ya timu pinzani haiwi stable....wanamuangalia sana ...sometime ndo inasaidia na magoli.

Mwisho wa siku, tunataka Ushindi kwa timu.
 
Wewe unamfunga west ham alafu unajitabiria ubingwa

Mfunge kwanza Tottenham . ...

Sent using Jamii Forums mobile app
Tott kwangu ni timu ya kawaida sana......huwezi kuwa na wachezaji wasiojua kuamua matokeo uwanjani wanazurura tu mpira mwingi halafu hauna faida.....mkubwa atabaki kuwa mkubwa tu Chelsea wamewaacha wacheze weeeeee mwishoni ubao wa matokeo upo upande wao

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
View attachment 570307

Msimamo wa ligi so far.
Target ya Mou On season ni kuchukua makombe yote F. A,EPL na UEUFA kuvunja rekodi ya Sir Alex ya 99, lakini kubwa zaidi kushinda EPL kwa point zaidi ya 95 ili kuvunja rekodi yake aliyoiweka Chelsea katika msimu wa 2003/4 kwa kufungwa Match 1 moja tu.

So now hataki kuona tukitoa draw kizembe au kufungwa na timu ndogo.

Sioni tukisajili mchezaji mwingine zaidi ya Ibramohovic tutalazimika kusajili January Winger na mapungufu yatakayojitokeza but for now kocha yupo happy na Squad aliyonayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikimuonaga martial anafunga najisikia raha sana aisee... Still tupo kwenye 4G

Sent From Heaven
Nguvu akili na muda anoutumia Rashford huwa kazi nyepesi kwa Martial.

Mou natakiwa kumrudisha Martial kati na Martial kuanza kama Winger,Matta akatokea banch kupata ushindi wa mapema zaidi.

Bado naendelea kuomba kwa Mungu ili Mou aanze kumkubali Martial na kumpa nafasi katika kikosi cha kwanza.

Martial ni kipaji cha Pekee pale Old traford kwa sasa.

Strike force tunaweza kuanza na Rashford, Martial na Lukaku na tukasumbua sana EPL na UEFA.

Bado Mikh na Matta hawajatuonyesha kiu tulichitarajia kutoka kwao ingawa Mikh ana assist 4 na Rashford ni mzuri zaidi akicheza namba 10 kama mshambuliaji msaidizi wa kati kuliko kucheza kama Winger namba 11 ambayo inamfanya kutumia nguvu nyingi zaidi.

Pamoja na kuwa na wachezaji wakali na wazuri msimu huu ila mchezaji anayeyfanya mpira kuwa rahisi pale mbele ni Anthony Martial.

Tuna wachezaji wawili ambao kama tukiwekeza na wao wakajitambua basi watakuja kuwa wachezaji bora duniani hasa msimu huu nao ni Pogba na Martial.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
rashford naona kama anakuwa overated sana..martial ni mtulivu sana anapopata chansi..so ni best kuliko rashford..so far amecheza dakika hata 30 hazifiki mechi mbili ila kafanya kweli..

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna sababu ya Uingereza hapo na hapo England ndio anaonekana kama mchezaji wao wa kutumainiwa kwa sasa hivyo anadaliwa kuja kuchukua nafasi ya Rooney n. k, kwa sasa Waingereza hawana mchezaji wa kumbrand kupambana na akina Neymar.

Hii hali ndio inampa pressure na kumfanya kukosa utulivu uwanjani anatakiwa kutokusikikiza kelele za mashabiki na vyombo vya habari ingawa ni mchezaji mzuri mwenye uwezo wa hali ya Juu.

Kivuli cha Makinda waliopita old T na kufanikiwa ndio kinachomfanya asitulie katika match hizi za mwanzoni.

Kwangu naamini kubadikishiwa nafasi uwanjani pia ni changamoto anayokumbana nayo.

Nilitegemea msimu akicheza kama 10 zaidi nafasi ambayo naiona amekabidhiwa Mikhtryan.

Namuona Martial akiwa na utulivu na kukubaliana na Mwalimu hivyo kuamua kupambana kwa kila nafasi itakayopatikana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila bado sijamuulewa kwann hana furaha

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado anahisi hapewi umuhimu katika timu na kocha licha ya kipaji na uwezo alionao, anatamani kucheza zaidi ya hapa, anatamani kuwa Katika first Eleven.

Anajiona ni mchezaji wa kutegemewa katia lift wing na hakuna mbadala wake that is true.

Ligi ndio imeanza naamini ligi ikichanganya tutamwona Martial katika first Eleven.

Mou anatakiwa kukikumbatia na kukipa nafasi hichi kipaji.

Kwangu binafsi bado namuona Mata ni wa kuanzia banch bado hajawa fiti kuufanya mpira kuwa mwepesi pale mbele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu nae watu wengi walikuwa wanasema atoke. Wengi tunasahau mpira dakika 90.
Nakubaliana na waliosema atolewe leo na mimi ni mmoja wao alishindwa kuwa mbadala pale kipindi cha kwanza, alikosa mbinu mbadala hadi Swansea walivyobadilika,tatizo ni nani wa kuja kumbadilisha kwa nafasi anayocheza sasa licha ya kutengeneza nafasi mbili za magoli.

Bado tunamdai Mikh kutokana na uwezo aliouonesha katika Bundasliger msimu wa 2015/16 akiwa kama kiungo mshambuliaji.

Note. Now tuna mshambuliaji mmoja wa uhakika Lukaku hatuna mbadala wake katika michezo yote kama hatutosajili mshambukiaji mwingine.

Kuna haja ya kumuandaa Rashford na Mikh pale mbele kama washambuliaji wasaidizi anapokosekana Lukaku na rotation ikiaanzia kwao, Either kwa kuanza wote pamoja ama kwa kupokezana kati ya Mikh na Rashford kama hatutosajili mshambukliaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakubaliana na waliosema atolewe leo na mimi ni mmoja wao alishindwa kuwa mbadala pale kipindi cha kwanza, alikosa mbinu mbadala hadi Swansea walivyobadilika,tatizo ni nani wa kuja kumbadilisha kwa nafasi anayocheza sasa licha ya kutengeneza nafasi mbili za magoli.

Bado tunamdai Mikh kutokana na uwezo aliouonesha katika Bundasliger msimu wa 2015/16 akiwa kama kiungo mshambuliaji.

Note. Now tuna mshambuliaji mmoja wa uhakika Lukaku hatuna mbadala wake katika michezo yote kama hatutosajili mshambukiaji mwingine.

Kuna haja ya kumuandaa Rashford na Mikh pale mbele kama washambuliaji wasaidizi anapokosekana Lukaku na rotation ikiaanzia kwao, Either kwa kuanza wote pamoja ama kwa kupokezana kati ya Mikh na Rashford kama hatutosajili mshambukliaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Babu Ibra atakuja kuwa mshambuliaji wa ziada
 
Nakubaliana na waliosema atolewe leo na mimi ni mmoja wao alishindwa kuwa mbadala pale kipindi cha kwanza, alikosa mbinu mbadala hadi Swansea walivyobadilika,tatizo ni nani wa kuja kumbadilisha kwa nafasi anayocheza sasa licha ya kutengeneza nafasi mbili za magoli.

Bado tunamdai Mikh kutokana na uwezo aliouonesha katika Bundasliger msimu wa 2015/16 akiwa kama kiungo mshambuliaji.

Note. Now tuna mshambuliaji mmoja wa uhakika Lukaku hatuna mbadala wake katika michezo yote kama hatutosajili mshambukiaji mwingine.

Kuna haja ya kumuandaa Rashford na Mikh pale mbele kama washambuliaji wasaidizi anapokosekana Lukaku na rotation ikiaanzia kwao, Either kwa kuanza wote pamoja ama kwa kupokezana kati ya Mikh na Rashford kama hatutosajili mshambukliaji.

Sent using Jamii Forums mobile app

Duru zinasema week hii Zlatan anaweza kusaini.
 
Wewe unamfunga west ham alafu unajitabiria ubingwa

Mfunge kwanza Tottenham . ...

Sent using Jamii Forums mobile app


Kwani Spurs Ni Kipimo Cha Ubingwa? Mara Ya Mwisho Kachukua Lini Ubingwa Mkuu? Ki Uhalisia Ulipaswa Kumshukuru Mungu Umetoka Salama Nafikir Wangekua White Hartlane Ingekuwa Story Tofaut

Mkuu Kwa Kuweka Kumbukumbu Sawa Pale Wembley Spurs Alishindwa Kupata Matokeo Hata Kwa Gent Ya Ubelgij
 
Ila waalimu wenzangu wa kwenye mitandao ya kijamii tutunze maneno...Rashford bado mdogo sana na anapitia kwenye kipindi cha mabadiliko.

Pia huyu anapokuwa uwanjani anafanya beki ya timu pinzani haiwi stable....wanamuangalia sana ...sometime ndo inasaidia na magoli.

Mwisho wa siku, tunataka Ushindi kwa timu.


Mkuu Sio Kipindi Kigumu Rashford Ni Center Foward Kwa Sasa Kapewa Jukumu Lingine Anatokea Pembeni Huyu Dogo Anapocheza 9 Sio Mtu Wa Mchezo Mech Nyingi Alizofunga Magoli Mengi Alikuwa Striker Mourinho Sio Kichaa Huyu Dogo Mech Kubwa Anacheza Vizur Sana.

Katusaidia Sana Mech Za Europa.
 
Back
Top Bottom