Kiberiti Kidogo
JF-Expert Member
- Jan 14, 2017
- 575
- 918
Uwanjani wako 11, kama unamuangalia mmoja ndio afanye kila kitu hile sio tennis.
Kwanini baada ya game anapatikana Flop na Man of Match?
Uwanjani wako 11, kama unamuangalia mmoja ndio afanye kila kitu hile sio tennis.
Kwanini baada ya game anapatikana Flop na Man of Match?
tuache unafki jana pogba kazingua sana..alikuwa ovyo sana..Kwahiyo alieflop ni Pogba?
Nilisema jana humu mtu akatoa povu kama shampoo imekutana na nywele za singasinga.Kulikua na haja sana ya kutumia "pace na trickery" ya Martial kwenye winga mojawapo hasa kipindi cha pili...bahati mbaya sana kocha alikua na mawazo tofauti.
NB: Timu nyingi zinammezea mate Anthony ila hathaminiki OT, hadi Lingard yuko mbele yake kwenye pecking order!
Mourinho,good coach. Poor man management
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazngua mno sana.
Hehee.. Ulikua hujashtuka. 2-1
Amua tuone nani ataekimbia
Kweli kabisa,hajaisaidia timu chochote zaidi ya kurukaruka ovyo tu..bora kati wangeanza matic,fellaini,na herrera..Kazngua mno sana.
Mmekufa kizembe sio kiume...Tumekufa kiume,makosa yapo kIdogo ambayo yakifanyiwa kazi tutapiga sana mbwa huku EPL
wakaanga sumu nendeni kwenu sie tunajimudu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilisema jana humu mtu akatoa povu kama shampoo imekutana na nywele za singasinga.
Sent From Heaven
Hahaa.. Ila hii mifano mnayotumia looh..Kwanza timu yako imewai kubeba Super Cup? Isikute unamcheka mwenzako mimba yake imetoka wakati wewe hauna kizazi.