Ohoooo, kumekuchaNimekutafuta wewe cjui hata ulikua wapi.? Eenhe vip nilikwambia wewe ni sawa na kuni ya akiba tu. Ulikua unanicheka mm nilipo ungua. Anyways tukutane EPL ili tupiage kelele kiusawa sawa
Ha ha ha ha nyie kaka zangu humu ndani mmenishinda tabiaNA KWAKO PIA MAREHEMU
Nipo fitii, nikiamua hapa mbona nyie ndiyo mtakimbiaNyie ndio mliokua mnakuja kutusumbua juzi na cute b, kwanza mpk kakimbia
Credity kwa wote huoni lukaku alijiposition kama striker?au Casemiro nae striker?hii ni team work.Heee sasa wewe goal alilofunga unampa credit lukaku au Matic?
Ha ha kumbuke yeye ni striker ameshindwa kupiga mipira kama ile
Game Plan Ya Kocha Lukaku Ni Mzur Sio Kila Mech Lazima Yeye Tu Aonekana Ndo Mana Wapo 11Mimi nilishasema deal la Lukaku costful kwa Man U ,mnakua na striker hajapiga attempt wala assist hata moja?
Akikujibu Hapo Unitag MkuuCredity kwa wote huoni lukaku alijiposition kama striker?au Casemiro nae striker?hii ni team work.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha naona kampeni ya Mourinho out itaanza mwezi January
Nakumbuka enzi za Furguson Man u hua wanakua na kasi sana wakati wa ku attack hadi utapenda
A small team
Sasa kijana anafariji wafiwa Wakati yeye ndio marehemu si afadhali ya sisi tunamajonzi kuliko yeye ameaga dunia kabisa
Acha masihara mkuu...Kwa beki hii tukikutana na Arsenal laccazete ataupia nyingi aisee...
![]()
![]()
![]()
nipe location nije tulisongeshe sebene ......ila madrid leo analia mapema huwa wanalingia kati ya dimba pale na sisi leo tuna mashine zimekaza mbaya hapo kati so anzeni kusheherekea kwapa...