Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Watu wanavyokuza bifu inashangaza sana.hivi man u imewahi nunua mchezaji toka Madrid?
Nadhani kikubwa hapa ni kwamba Man u imekuwa haina ubavu wa kumhitaji na kumchukua mchezaji wa first 11 na muhimu kwa Madrid ambae yupo na hali nzuri kabisa kama wao walivyotufanyia kwa CR. Ukiangali sisi tulivyohangaika na Morata ambaye hakuwa chaguo la kwanza, na sasa tunavyohangaika na kudharirika kwa Bale ambae ni majeruhi na tena anataftiwa mbadala,utagundua kwamba Madrid wanakuwa wababe kwetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Screenshot_2017-08-06-11-05-51.png
 
Back
Top Bottom