Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna rumours UNITED wanataka kumnunua Gareth Bale kwa €90.. Binafsi Naona Bale kuja Manchester ataharibu mambo kwa sababu ya injuries zake ..Ligi ya England ni ngumu sana kuliko LA LIGA yan huku nahc ndo atakuwa anaumia kila wiki

Sent using Jamii Forums mobile app
Mie pia simpendi huyu jamaa hata kama Madrid watatugawia bure. Ni heri aje periscope tu kama suala ni natural wing.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ibrahimović, Mkhitaryan and Pogba shortlisted for the 2016/17 [HASHTAG]#UEL[/HASHTAG] Player of the Season award!
81b1d68269baa003b4791550ac9ed03f.jpg
Mikhi anaweza kuchukua, kwasbabu ana magoli mengi
 
Ndio maana sinaga wasi wasi na usajili wa mourinho!! Jana niliona shughuli ya huyu jamaa!! sasa sijui tutasingizia nini tena maana beki wapo, kipa yupo, viungo wapo wakiongozwa na pogba na matic, na pale mbele tuna lukaku!!
Matic atasaidia sana, ngoja tusibirie ligi
 
Ndio maana sinaga wasi wasi na usajili wa mourinho!! Jana niliona shughuli ya huyu jamaa!! sasa sijui tutasingizia nini tena maana beki wapo, kipa yupo, viungo wapo wakiongozwa na pogba na matic, na pale mbele tuna lukaku!!
[HASHTAG]#Systematic[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Diplomatic[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Mathematic[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Automatic[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Nemanja[/HASHTAG] matic

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom