Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

apart from de Gea, there is no other player united needs to sign. We have a large squad, well talented youth. Buying new players will bring nothing to the team. We are untouchable in england, almost the same in europe. To beat barca u need a well organised team raised frm th academy and nt made by luxurious transfer.
 
Wayne Rooney hair transplant: I'm delighted, says Man Utd star!

wayne-rooney-s-hair-transplant-234291935.jpg
 
Nasri waits to see if Utd want him

SAMIR NASRI has opened the door on a move to Arsenal's bitter rivals Manchester United.

The midfield ace wants to know if he is on the champs' shopping list.

He said: "I don't know if I will sign a new contract with Arsenal.

"Discussions are ongoing and we'll talk about it this week. Do I want to go to United? First, we must see if it's real."
Nasri, 23, has a £25million price tag and is in the final year of his Arsenal deal.

But boss Arsene Wenger insisted: "What is certain is we won't be selling Nasri to Manchester United."
 
Young: Let me be a Euro star

ASHLEY YOUNG wants to quit Aston Villa for Champions League football.

Manchester United are now favourites to land the £20million-rated striker ahead of Liverpool, who are not in Europe.
He said: "I want to test myself at the highest level - at the World Cup, the Euros and the Champions League."
 
CHEATING Ryan Giggs' brother dumped his wife last night after learning the soccer star had bedded her for eight years.
Rhodri Giggs, 34, was devastated at being betrayed by both his brother and his wife of ten months Natasha, 28.

Manchester United winger Ryan, 37, was battling to save his marriage - already rocked by the affair with model Imogen Thomas he tried to hide with a super-injunction..................


Read more: Giggs brother Rhodri dumps wife over her affair with Ryan | The Sun |News



Hahahahahahaaha!! Ryan Giggs just made JT, Ashley Cole, Rooney and Crouch look like saints! Wachezaji kweli balaa tupu!
 
Monday's rumours

Arriving
Wesley Sneijder (not stated, Talksport)
Alexis Sanchez (£30, Daily Mail)
Luka Modric (£20m, The Sun)
Samir Nasri (£25m, The Sun)
Ashley Young (£20m, The Sun)
Erick Torres (not stated, Telegraph)

Running Total:
20 players, £305m
 
Hernandez hits a hat-trick

The goals just keep coming for Javier Hernandez.
The English domestic league may have finished late last month, but United striker Chicharito is still finding the net on the international stage.
On Sunday, the 23-year-old hit a second-half hat-trick as Mexico strolled to a 5-0 win against El Salvador in the opening round of the Gold Cup in Dallas, USA.
Hernandez's first, a header from close range, put Mexico 3-0 up on 60 minutes. Seven minutes later he latched onto a long ball and finished across the El Salvador goalkeeper, before sealing his treble in injury-time with a cheeky, chipped penalty.
In typical Hernandez style, the striker played down his individual achievement when talking to reporters after the match.
"The most important thing for me is the three points," he said. "I don't care if I score – sometimes I won't. The main thing is we won."
Mexico's next test comes against Cuba, in Charlotte on 9 June.

More: Javier Hernandez profile | Papers: Park set for talks
 
Hahahahahahaaha!! Ryan Giggs just made JT, Ashley Cole, Rooney and Crouch look like saints! Wachezaji kweli balaa tupu!
Huyo giggs ana genye kama mdudu kha!! Ila huyo dada naye alichemsha sana, sasa wewe utakubalije kufunga ndoa na mdogo mtu wakati unagawa uroda kwa kaka mtu?
 
Mchezaji nyota wa Manchester United, Ryan Giggs amesababisha kuvunjika kwa ndoa ya kaka yake baada ya kugundulika alikuwa akimla uroda mke wa kaka yake kwa jumla ya miaka minane.
Mchezaji mashuhuri wa Manchester United, Ryan Giggs ameingia kwenye kizaazaa kikubwa baada ya magazeti ya Uingereza kutoboa siri yake kuwa mbali ya kusailiti ndoa yake kwa kutembea na mrembo wa Big Brother, Imogen Thomas alikuwa pia akimla uroda mke wa kaka yake kwa miaka minane sasa.

Imedaiwa kuwa Giggs alikuwa akijivinjari na mke wa kaka yake Rhodri Giggs kwa miaka minane na kuvuja kwa siri hiyo kumepelekea Rohdri kuamua kuivunja ndoa yake na mke wake.

Rhodri mwenye umri wa miaka 34, alisema kuwa amehuzunishwa sana na habari za uhusiano wa kimapenzi kati ya Ryan Giggs na mkewe Natasha mwenye umri wa miaka 28.

"Nilikuwa na mke wangu Natasha siku ya jumamosi lakini kuanzia sasa siko naye tena", alisema Rhodri.

"Najua kwamba mimi na Ryan tulikuwa na migogoro wakati fulani lakini sikutegemea kama ingefikia hali hii ya kudhalilishana, nilihisi kuna kitu kinaendelea kati ya Ryan na Natasha lakini sikujua ni kitu gani", Rhodri.

Gazeti la News of the World liliripoti jumapili kuwa Giggs alikuwa akilala na Natasha wakati mke wake alipokuwa mjamazito, na aliendelea kula uroda na Natasha siku moja baada ya mke wake kujifungua mtoto wa kike.

Natasha inasemekana ndiye aliyeamua kuvujisha siri ya uhusiano wake na Giggs baada ya habari kuzagaa kwenye vyombo vya habari kuwa Giggs alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mrembo aliyekuwa mshiriki wa Big Brother UK, Imogen Thomas.

"Nilipogundua kuwa alikuwa pia na uhusiano wa kimapenzi na Imogen, nilivunjika sana moyo", Natasha alitoboa siri kupitia kwa rafiki yake.

"Najua itaonekana ni jambo la kushangaza, mbali ya kumsaliti mkewe Stacey, alikuwa akinisaliti mimi pia kwa kutembea na Imogen", alisema mke huyo wa kaka yake Giggs.

Habari zaidi zimesema kuwa baada ya Natasha kuvihakikishia vyombo vya habari kuwa habari za uhusiano wake na Giggs kuwa ni za kweli, alisafiri pamoja na watoto wake wawili kwenda nje ya nchi.

Rhodri kwa upande wake amebaki na majonzi nyumbani kwake ambapo inadaiwa kuwa marafiki zake wa karibu wanajaribu kumfariji kwa haya yaliyomkuta.
 
Hahahahahahaaha!! Ryan Giggs just made JT, Ashley Cole, Rooney and Crouch look like saints! Wachezaji kweli balaa tupu!

Huyo giggs ana genye kama mdudu kha!! Ila huyo dada naye alichemsha sana, sasa wewe utakubalije kufunga ndoa na mdogo mtu wakati unagawa uroda kwa kaka mtu?

Nimekubali Giggs balaa

Love, sexual attraction and life in general are very complicated things; this is just another complicated story with no good or bad guys, just humans. Everybody involved is innocent and guilty at the same time. I say leave them alone and let life take its course.
 
rumours

Arriving
Shinji Kagawa (£20m, Nikkan Sports)
Jack Rodwell (£25m, ClickManchester)
Wesley Sneijder (not stated, Talksport)
Alexis Sanchez (£30, Daily Mail)
Luka Modric (£20m, The Sun)
Samir Nasri (£25m, The Sun)
Ashley Young (£20m, The Sun)
Erick Torres (£2m, Telegraph)

Running Total:
22 players, £352m
 
Gigs ni mwehu yaani among those girls akmuona wa kaka yake ndo mtamu........
 
Mchezaji nyota wa Manchester United, Ryan Giggs amesababisha kuvunjika kwa ndoa ya kaka yake baada ya kugundulika alikuwa akimla uroda mke wa kaka yake kwa jumla ya miaka minane.
Mchezaji mashuhuri wa Manchester United, Ryan Giggs ameingia kwenye kizaazaa kikubwa baada ya magazeti ya Uingereza kutoboa siri yake kuwa mbali ya kusailiti ndoa yake kwa kutembea na mrembo wa Big Brother, Imogen Thomas alikuwa pia akimla uroda mke wa kaka yake kwa miaka minane sasa.

Imedaiwa kuwa Giggs alikuwa akijivinjari na mke wa kaka yake Rhodri Giggs kwa miaka minane na kuvuja kwa siri hiyo kumepelekea Rohdri kuamua kuivunja ndoa yake na mke wake.

Rhodri mwenye umri wa miaka 34, alisema kuwa amehuzunishwa sana na habari za uhusiano wa kimapenzi kati ya Ryan Giggs na mkewe Natasha mwenye umri wa miaka 28.

"Nilikuwa na mke wangu Natasha siku ya jumamosi lakini kuanzia sasa siko naye tena", alisema Rhodri.

"Najua kwamba mimi na Ryan tulikuwa na migogoro wakati fulani lakini sikutegemea kama ingefikia hali hii ya kudhalilishana, nilihisi kuna kitu kinaendelea kati ya Ryan na Natasha lakini sikujua ni kitu gani", Rhodri.

Gazeti la News of the World liliripoti jumapili kuwa Giggs alikuwa akilala na Natasha wakati mke wake alipokuwa mjamazito, na aliendelea kula uroda na Natasha siku moja baada ya mke wake kujifungua mtoto wa kike.

Natasha inasemekana ndiye aliyeamua kuvujisha siri ya uhusiano wake na Giggs baada ya habari kuzagaa kwenye vyombo vya habari kuwa Giggs alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mrembo aliyekuwa mshiriki wa Big Brother UK, Imogen Thomas.

"Nilipogundua kuwa alikuwa pia na uhusiano wa kimapenzi na Imogen, nilivunjika sana moyo", Natasha alitoboa siri kupitia kwa rafiki yake.

"Najua itaonekana ni jambo la kushangaza, mbali ya kumsaliti mkewe Stacey, alikuwa akinisaliti mimi pia kwa kutembea na Imogen", alisema mke huyo wa kaka yake Giggs.

Habari zaidi zimesema kuwa baada ya Natasha kuvihakikishia vyombo vya habari kuwa habari za uhusiano wake na Giggs kuwa ni za kweli, alisafiri pamoja na watoto wake wawili kwenda nje ya nchi.

Rhodri kwa upande wake amebaki na majonzi nyumbani kwake ambapo inadaiwa kuwa marafiki zake wa karibu wanajaribu kumfariji kwa haya yaliyomkuta.

Isije jamaa linashangilia kimoyomoyo! Yaweza hata kuwa lilikuwa dili kati ya mdogo mtu na kaka, yaonyesha kama jamaa alikuwa ameshamchoka Natasha! Anyway maoni yangu.
 
56_pea_1323629a.jpg

MANCHESTER UNITED are set to treble Javier Hernandez's wages to £75,000 a week to keep Real Madrid at bay.

 
Back
Top Bottom