Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Giggs_2603609.jpg

VDS-Anderson_2603612.jpg

dimitar-berbatov_2603613.jpg
 
Hongereni wakuu kwa kufanya parade nzuri ya kinafiki ...... hiyo haiondoi ukweli kwamba mechi zenu myingi kwenye EPL mnashinda kwa bahasha i.e. hakuna mechi mnazoshinda bila utata, mfano ni Barca walivyowachomoa hata kisingizio sifuri. Kwa jinsi mambo yanavyokwenda ule mtandao wa Fungie na marefa wake utakufa siku si nyingi maana ile kamati ya Bunge la UK imewakalia kooni FA kwa hiyo waswahili wanasema time out. Ndio chababu chacha mnahaha mnataka kuvamia soko lakini mpunga hamna khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Hongereni wakuu kwa kufanya parade nzuri ya kinafiki ...... hiyo haiondoi ukweli kwamba mechi zenu myingi kwenye EPL mnashinda kwa bahasha i.e. hakuna mechi mnazoshinda bila utata, mfano ni Barca walivyowachomoa hata kisingizio sifuri. Kwa jinsi mambo yanavyokwenda ule mtandao wa Fungie na marefa wake utakufa siku si nyingi maana ile kamati ya Bunge la UK imewakalia kooni FA kwa hiyo waswahili wanasema time out. Ndio chababu chacha mnahaha mnataka kuvamia soko lakini mpunga hamna khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Kwa hali mliyoko tutachukua tena kombe kabla yenu....!!
 
Owen extends Old Trafford stay

Michael Owen's contract has been extended for a further year, in a deal that will see the forward complete a third season as a first-team player.

Sir Alex Ferguson said: "Michael has proved to be a top footballer. It's unfortunate Michael didn't get more opportunities but the form of Chicharito put everyone in the shade and his partnership with Rooney proved invaluable. I am delighted Michael is staying for a further year and we will look to give him more opportunities in the new season."

Michael Owen said: "I'm delighted to have agreed a one-year extension to my contract. To play alongside so many great players, under an exceptional manager, and in front of so many incredibly passionate supporters, is a real inspiration. I can't wait for next season to start."
 
This week's rumours

Arriving
Charlie Adam (£16m)
Wesley Sneijder (£35m)
David De Gea (£18m)
Luka Modric (£25m)
Ashley Young (£15m)
Fabio Coentrao (£26m)
Total: 6 players, £135m

The Gossip

The transfer window is open once more, and out flood the rumours. Keep track of all the United tittle-tattle with The Gossip...

10:30 We have the latest round-up of tabloid tales on the site with updates on the links with Arsenal ace Samir Nasri and Aston Villa winger Ashley Young. Wayne Rooney also expects United to spend big this summer and we'll detail every name thrown into the ring right here.
 
Hongereni wakuu kwa kufanya parade nzuri ya kinafiki ...... hiyo haiondoi ukweli kwamba mechi zenu myingi kwenye EPL mnashinda kwa bahasha i.e. hakuna mechi mnazoshinda bila utata, mfano ni Barca walivyowachomoa hata kisingizio sifuri. Kwa jinsi mambo yanavyokwenda ule mtandao wa Fungie na marefa wake utakufa siku si nyingi maana ile kamati ya Bunge la UK imewakalia kooni FA kwa hiyo waswahili wanasema time out. Ndio chababu chacha mnahaha mnataka kuvamia soko lakini mpunga hamna khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Maneno ya wakosaji (Anti-United Funs/ Washabiki Mseto)
 
Juzi nilisikia kuwa Charlie Adam alionekana akitafuta nyumba maeneo ya Worsley...Huyo Adam aende Liverpool hatumtaki old trafford, mwingine ni jack Rodwell.
 
This week's rumours

Arriving
Charlie Adam (£16m)
Wesley Sneijder (£35m)
David De Gea (£18m)
Luka Modric (£25m)
Ashley Young (£15m)
Fabio Coentrao (£26m)
Total: 6 players, £135m

The Gossip

The transfer window is open once more, and out flood the rumours. Keep track of all the United tittle-tattle with The Gossip...

10:30 We have the latest round-up of tabloid tales on the site with updates on the links with Arsenal ace Samir Nasri and Aston Villa winger Ashley Young. Wayne Rooney also expects United to spend big this summer and we'll detail every name thrown into the ring right here.

jamani jamani, adam ana quality gan mpaka apewe bei iyo!? Mimi ni shabik wa man u, zaid ya kipa sitapenda usajili wa jina lolote kubwa. Kocha awape nafasi kina morrison, pogba, cleverley, keane, tunniclife na norwood. Hakuna haja ya big name signing
 
Katika list ya wachezaji ambao wanahusishwa na kusajiliwa Man Utd, ukiacha makipa bado sijaona mchezaji ambaye anaweza kutusaidia sana, sneijder ni mzuri sana kwa kuchezesha timu lakini umri wake ni mkubwa, C. Adams anafaa sana kuziba pengo la schools kwa sababu ana uwezo mkubwa wa kupiga penetration pass, pass ndefu na mipira iliyokufa lakini bado si mzuri sana kwa kukaba, Ashley Young ni winga mzuri lakini hatumuitaji sana kwa sababu tuna Valencia, nani, Park na Giccs.

TATIZO KUBWA KWA MAN UTD NI VIUNGO WA KUKABA, TOKA AONDOKE ROY KEAN TIMU IMEKOSA KABISA MCHEZAJI WA AINA YAKE, OWEN HAGRIEVES ALIKUA ANAFAA SANA LAKINI AMEKUWA MAJERUHI KWA MUDA MREFU. SO INATAKIWA ASAJILIWE KIUNGO MWENYE NGUVU ANAYEWEZA KUKABA NA KUCHEZESHA TIMU, KWA MAONI YANGU LASANA DIARA NI MOJA YA AINA YA WACHEZAJI TUNAOWAHITAJI. PIA C. ADAMS TUNAMUHITAJI KWA AJILI YA MIPIRA ILIYOKUFA NA PASS NDEFU IN CASE TIMU INAPOKUWA IMEZIDIWA, PILI UMRI WAKE BADO NI MDOGO SANA ILA TATIZO NI BEI YAKE IKO JUU SANA.
 
Juzi nilisikia kuwa Charlie Adam alionekana akitafuta nyumba maeneo ya Worsley...Huyo Adam aende Liverpool hatumtaki old trafford, mwingine ni jack Rodwell.

Kwa sasa tunamuhitaji Charlie Adam kwa ajili ya makombe kama FA na Carling Cup. Pia kwa baadae atatufaa kwa ajili ya replacement ya Schools tatizo ni bei wanayoitaka ndo kubwa kulinganasha na kiwango chake. Kwa sasa tunahitaji viungo wakaba wenye nguvu za kutosha, mafoward na mawinga tunao wakutosha na wazuri sana. just imagine tukimsajili Ashley Young atacheza namba gani?
 
jamani jamani, adam ana quality gan mpaka apewe bei iyo!? Mimi ni shabik wa man u, zaid ya kipa sitapenda usajili wa jina lolote kubwa. Kocha awape nafasi kina morrison, pogba, cleverley, keane, tunniclife na norwood. Hakuna haja ya big name signing
sifa kubwa ya makipa toka spain ni wazuri ktk kusevu penati,hata fernando torres nae alishawahi kudaka mechi 1 alipokuwa atletico madrid na ni mzuri alianzia kipa,spain imejaliwa kizazi hiki sasa,sio cha wakati ule kina pedro munitiz,ismail urzaiz na javi moreno wanapiga chenga hadi nje ya uwanja mpira wanamiliki lakini wanafungwa wao yani kama mwanamke mzuri mrembo ila tabia mbovu,ila tunamshukuru babu luis aragonez na sharubu vicente del bosque wameleta tiki taka staili pale kati inatisha kina biskut,xavi,iniesta,alonso hapo super sub fabregas,jesus navas,david silva,pedro rodriguez ledesma,santi cozorla nk kina arteta wanaitwa mara chache chache.
 
sifa kubwa ya makipa toka spain ni wazuri ktk kusevu penati,hata fernando torres nae alishawahi kudaka mechi 1 alipokuwa atletico madrid na ni mzuri alianzia kipa,spain imejaliwa kizazi hiki sasa,sio cha wakati ule kina pedro munitiz,ismail urzaiz na javi moreno wanapiga chenga hadi nje ya uwanja mpira wanamiliki lakini wanafungwa wao yani kama mwanamke mzuri mrembo ila tabia mbovu,ila tunamshukuru babu luis aragonez na sharubu vicente del bosque wameleta tiki taka staili pale kati inatisha kina biskut,xavi,iniesta,alonso hapo super sub fabregas,jesus navas,david silva,pedro rodriguez ledesma,santi cozorla nk kina arteta wanaitwa mara chache chache.

Japo sikutaka kuchangia hii post humu, nitachangia tu kwa vile ipo kwenye thread ya watu(sorry)

Tatizo la Spain ilikuwa ni Raul na Fernando Hiero, hawa walikuwa na nguvu kwenye timu kuliko hata kocha wa NT na walichangia mgawanyiko kwenye timu.

Baada ya WC 2006 Luis Aragones(Coach) alijivua gamba na kumfukuza Raul kutoka kwenye timu kwa vile alikuwa anaigawa timu, na matokeo yake ndo haya tunayoyashuhudia sasa
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mkuu hebu tuwekee orodha ya very best players na definition yake?

" Better than Maradona: Messi (right) fires home a brilliant second to draw comparisons with the very best"

Mkuu hayo ndio maneno uliyosema pale awali!!!
Ebu jikumbushie hii link kidogo Champions League - Is Messi the greatest ever? - Yahoo! Eurosport

Messi ni mchezaji mzuri, tena sana. Lakini tatizo ni moja, anawika sana akiwa na klabu yake..akiwa na timu ya taifa anaonekana ni kama mchezaji wa kawaida sana!! Cheki alivyobofya kombe la dunia pale bondeni...sasa unavyosema better than Maradona nakua sikuelewi kama uko sawa..Maradona ana medali ya kombe la dunia..alikua ana consistency form kuanzia katika levo ya klabu hadi taifa. Ukienda kwa Pele, habari ni ile ile, aliwika kuanzia ngazi ya klabu hadi taifa. Nenda kwa Zidane na Ronaldo (R9) wote hawa waliwika na kucheza katika kiwango kile kuanzia kwenye klabu zao hadi timu zao za taifa.

Soma ile link juu uweze kupata upande mwingine wa dunia inahisi Messi bado hajafikia levo ya kuwekwa katika historia moja na Pele, Maradona, Zidane na R9.
 
Japo sikutaka kuchangia hii post humu, nitachangia tu kwa vile ipo kwenye thread ya watu(sorry)

Tatizo la Spain ilikuwa ni Raul na Fernando Hiero, hawa walikuwa na nguvu kwenye timu kuliko hata kocha wa NT na walichangia mgawanyiko kwenye timu.

Baada ya WC 2006 Luis Aragones(Coach) alijivua gamba na kumfukuza Raul kutoka kwenye timu kwa vile alikuwa anaigawa timu, na matokeo yake ndo haya tunayoyashuhudia sasa



Maoni yako yamejaa unazi wa Catalunya zaidi kuliko ukweli....unaweza kuthibitisha ulichosema?
 
article-1392229-0C5087EA00000578-408_634x363.jpg


Better than Maradona: Messi (right) fires home a brilliant
second to draw comparisons with the very best


The sucker punch khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

" Better than Maradona: Messi (right) fires home a brilliant second to draw comparisons with the very best"

Mkuu hayo ndio maneno uliyosema pale awali!!!
Ebu jikumbushie hii link kidogo Champions League - Is Messi the greatest ever? - Yahoo! Eurosport

Messi ni mchezaji mzuri, tena sana. Lakini tatizo ni moja, anawika sana akiwa na klabu yake..akiwa na timu ya taifa anaonekana ni kama mchezaji wa kawaida sana!! Cheki alivyobofya kombe la dunia pale bondeni...sasa unavyosema better than Maradona nakua sikuelewi kama uko sawa..Maradona ana medali ya kombe la dunia..alikua ana consistency form kuanzia katika levo ya klabu hadi taifa. Ukienda kwa Pele, habari ni ile ile, aliwika kuanzia ngazi ya klabu hadi taifa. Nenda kwa Zidane na Ronaldo (R9) wote hawa waliwika na kucheza katika kiwango kile kuanzia kwenye klabu zao hadi timu zao za taifa.

Soma ile link juu uweze kupata upande mwingine wa dunia inahisi Messi bado hajafikia levo ya kuwekwa katika historia moja na Pele, Maradona, Zidane na R9.


Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mkuu ki-english ni lugha ya watu unaweza kusoma vizuri na kuelewa au wamekusingizia tu? Tena kuweka lugha nyepesi nilisema ............

''Mkuu hebu tuwekee orodha ya very best players na definition yake?''



Chacha naona lugha gombana hapa, I mean hilo swali halikuwa linahitaji copy and paste. I can seriously stand by the words used.

 
Back
Top Bottom