DUUH MATIC MBONA NAONA KAMA GALASA WAKUU AU MMNAONAJE KWAANAE MJUA VZURI NA ATA TUFAA VP
Sent using Jamii Forums mobile app
Nemanja Matic underwent a medical at Carrington this morning (@TuftyMUFC)
[HASHTAG]#mufc[/HASHTAG] and Chelsea have agreed a £40m fee for Nemanja Matic [sky]
Si unaona hapo kwenye mabano kuna sources za taarifa. Hao ni waandishi wanaominika,na raha ya rumours ni kutoka kabla ya official club announcement. Wamefanya hvyo kwa lukaku, Lindelof, Morata nk.Hizi habari mnazitoa wapi? Au mna watu inside Carrington nini maana naangalia hapa reliable sources wanaonesha jamaa wapo close kusajili, ila bado hawajafikia makubaliano
Hizi habari mnazitoa wapi? Au mna watu inside Carrington nini maana naangalia hapa reliable sources wanaonesha jamaa wapo close kusajili, ila bado hawajafikia makubaliano
Mkuu..! Unaonekana unamkubali sana jembe Marcus rojo.Good news
Available????Huo ni mtazamo wako but ni mchezaji ambaye anamfaa sana Mourinho, its the best option available
Kinouma yani huyu jamaa huwa anafanya niipende man u mara mia zaidi anajituma uwanjani ni fighter sana, saivi namwombea apone haraka aise!Mkuu..! Unaonekana unamkubali sana jembe Marcus rojo.
Nimekusoma mkuuJitahidi kutafuta comments zangu humu,zipo nilizoandika kuhusu umuhimu wa kusajiliwa kwa Matic katika kikosi chetu this season.
Na nikafanya na analysis,ila kwa kifupi tunamuhitaji Zaidi Matic na ni bonge la mchazaji.
Katika kikosi chetu tuna upungufu wa mchezaji namba 6,yaani defensive midfielder aliyekamilika kiasili.
Kwa sasa tunaye Carric tu ila naye umri umeenda sio wa kumtegemea kupambana katika michezo yote,Matic anaweza kutusaidia.
Sent using Jamii Forums mobile app
YES