Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,880
- 10,185
Verrati hauzwi,tunahitaji mchezaji aina ya MaticKwa pesa ile ya Matic bora tumkomalie Veratti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Verrati hauzwi,tunahitaji mchezaji aina ya MaticKwa pesa ile ya Matic bora tumkomalie Veratti.
Hivi yule mtoto wa Bayern Renato Sanchez c anapatikana, Kwa nn tusimuongeze yule? Naamini ana kiwango kikubwa,Kyle Bayern anaweza kuwa kakosa namba kwa sababu ya mfumo lakini pia na aina ya wachezaji anaocheza nao ktk nafasi yake.Verrati hauzwi,tunahitaji mchezaji aina ya Matic
Dogo anajua yani siku ile kacheza na Chelsea aliwavuruga kati pale! Yeye anataka kuondoka ila angependa aende inter ila tukimpata itakua kweree sanaHivi yule mtoto wa Bayern Renato Sanchez c anapatikana, Kwa nn tusimuongeze yule? Naamini ana kiwango kikubwa,Kyle Bayern anaweza kuwa kakosa namba kwa sababu ya mfumo lakini pia na aina ya wachezaji anaocheza nao ktk nafasi yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Renato Sanches huenda akatua AC Milan au Chelsea kwenda kuziba pengo la Matic.Mourinho anataka mchezaji mzoefu toka EPL option zake zilikuwa (Dier & Matic) na usajili siku hizi ni mgumu sanaHivi yule mtoto wa Bayern Renato Sanchez c anapatikana, Kwa nn tusimuongeze yule? Naamini ana kiwango kikubwa,Kyle Bayern anaweza kuwa kakosa namba kwa sababu ya mfumo lakini pia na aina ya wachezaji anaocheza nao ktk nafasi yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa pesa ile ya Matic bora tumkomalie Veratti.
Huo ni mtazamo wako but ni mchezaji ambaye anamfaa sana Mourinho, its the best option availableDUUH MATIC MBONA NAONA KAMA GALASA WAKUU AU MMNAONAJE KWAANAE MJUA VZURI NA ATA TUFAA VP
Sent using Jamii Forums mobile app
The transfer window will slam shut on Thursday, August 31 with another frantic window expected. It is due to shut at 23.00.Kuna dirisha la usajili linafubgwa lini, si kesho?
Good news[HASHTAG]#mufc[/HASHTAG] and Chelsea have agreed a £40m fee for Nemanja Matic [sky]
We still have timeThe transfer window will slam shut on Thursday, August 31 with another frantic window expected. It is due to shut at 23.00.
Jitahidi kutafuta comments zangu humu,zipo nilizoandika kuhusu umuhimu wa kusajiliwa kwa Matic katika kikosi chetu this season.DUUH MATIC MBONA NAONA KAMA GALASA WAKUU AU MMNAONAJE KWAANAE MJUA VZURI NA ATA TUFAA VP
Sent using Jamii Forums mobile app