RB Leipzig ya Bundesliga Germany
Ahaa apo gudi dgo anaweza kifungaRB Leipzig ya Bundesliga Germany
Sanches na Hazard siyo wa hiyo kalibaJana nimeangalia marudia ya mechi kati ya Man United na Barcelona, nilichogundua Manchester wanahitaji kujaza nafasi hizi au wachezaji wa aina hii.
1- Beki namba 3 mwenyekasi maana Blind na Damian sio namba 3 hasilia.
2- Wapate mchezaji mwenye uwezo binafsi wakati timu imeshindwa kupenya ngome ya team pinzani mfano kwa sasa wapate mchezaji kama 1- Neymar 2- Sanchez 3- Messi 4- Harzad au wachezaji wanafanana kama hao timu itakuwa ime balance sana.
Hayo ndio maoni yangu kwa nilivyangalia hiyo mechi.
Sanchez na hazard wanafanya striking force yenu iwe ni threat kwa timu pinzani,hawa watu unaweza ukakuta timu imelemewa kwa uwezo wao binafsi wakabadili matokeo. Hichi sisi ndo hatuna katika timu yetu tungebahatika kumpata griezman ingekuwa poa.
Kweli mkuu na winga mmoja matataJana nimeangalia marudia ya mechi kati ya Man United na Barcelona, nilichogundua Manchester wanahitaji kujaza nafasi hizi au wachezaji wa aina hii.
1- Beki namba 3 mwenyekasi maana Blind na Damian sio namba 3 hasilia.
2- Wapate mchezaji mwenye uwezo binafsi wakati timu imeshindwa kupenya ngome ya team pinzani mfano kwa sasa wapate mchezaji kama 1- Neymar 2- Sanchez 3- Messi 4- Harzad au wachezaji wanafanana kama hao timu itakuwa ime balance sana.
Hayo ndio maoni yangu kwa nilivyangalia hiyo mechi.
Lukaku vs Barcelona
95 minutes played
Zero attempt
Zero on target
Zero goal
Zero assist
Two hips
Tupoooo