Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

_53052509_012096716-1.jpg


Man U barca ndio kiboko yenu
 
man u fans, madogo wetu wa walioshnda youth cup tuwapgie chapuo ktk talkreds saf awapange 1st team. Kuna ravel morrison-new rooney, kuna pogba-new vieira, kuna norwood-new beckam, kuna tunniclife-new roy keane, kuna will keane, king na adnaz. Hawa afta 2yrz hakuna timu dunian itakayotuletea mbwembwe.
 
man u fans, madogo wetu wa walioshnda youth cup tuwapgie chapuo ktk talkreds saf awapange 1st team. Kuna ravel morrison-new rooney, kuna pogba-new vieira, kuna norwood-new beckam, kuna tunniclife-new roy keane, kuna will keane, king na adnaz. Hawa afta 2yrz hakuna timu dunian itakayotuletea mbwembwe.
Ebanae Tunniclife, Morrison, Pogba na Kean ni noma alafu kuna mtoto mmoja anaitwa Ajose naye anakiputa kweli kweli, Joshua King nadhani msimu ujao atakuwa Ujerumani kwa mkopo.. Ravel Morrison akituliza kichwa ana future nzuri sana, ningependa sana kumuona yeye Tunnie na Pogba wakibreak kwenye first team.
 
article-1392229-0C5087EA00000578-408_634x363.jpg

Better than Maradona: Messi (right) fires home a brilliant
second to draw comparisons with the very best


yeah Messi is a very good player...but to compare or even to try comparing him with the greatest like Pele, Maradona, Zidane, Ronaldo 'the phenomena', Ronaldhino et. al...it is absurd....until he wins the WORLD CUP then he can stand at same podium as the earlier mentioned greats...
 
Baadhi ya picha kutoka kwenye parade, sky sports wanareport kuwa mashabiki 150,000 walijitokeza pamoja na mvua kunyesha.
2cyis9h.jpg
jrbblh.jpg

2py6gr4.jpg
2dkhdoh.jpg
 
Manchester United imefungwa na timu bora hakuna sababu za msingi mashabiki na manazi wote wa Man kusikitika, tumejitahidi kiasi cha kutosha sasa ni wakati wa kujenga timu upya hasa sehemu ya kiungo damu mpya ni lazima.

Ni kichekesho wapenzi wa Arsenal na Chelsea ghafla wamesahau Manchester United ni bingwa wao,nilitegemea Baba[ManUtd] akipata kibano watoto [Arsenal,Liverpol na Chelsea] wajiulize wao wangefanywa nini ?.

Ni ukweli ulio wazi Manchester United ya sasa haikuwa nzuri nilitegemea timu kama Arsenal na Chelsea wangetake advantage lakini wapi wameshindwa kutumia nafasi hiyo wasahau msimu unaokuja wasitegemee kutusogelea hata kidogo tutawaacha kwa points 20.

Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee waulize Barca wenyewe wanaifahamu Arsenal inawafanyaga nini tuliwapiga magoli Emirates na mara tulipokwenda mechi ya marudiano refa aliwagongea tukacheza wachezaji 10. Hawa huwa wanatufanyia fitna kama unakumbuka hata golikipa alishapewa red card ili wao washinde lakini kwa Manure walifunga magoli ambayo hata mlivyobebwa hamjui mtatokea wapi.


BTW nyinyi mtashinda sana EPL kutokana na mtandao wa marefa wanaopokea bahasha kutoka kwa Fungie si unaona mwenyewe unakiri kwamba timu yenu mbovu. Nyie pamoja na Chelsick hamchekani moja mafioso mwingie bahasha na brown envelopes khe khe keeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Ebanae Tunniclife, Morrison, Pogba na Kean ni noma alafu kuna mtoto mmoja anaitwa Ajose naye anakiputa kweli kweli, Joshua King nadhani msimu ujao atakuwa Ujerumani kwa mkopo.. Ravel Morrison akituliza kichwa ana future nzuri sana, ningependa sana kumuona yeye Tunnie na Pogba wakibreak kwenye first team.
Huyo Pogba nasikia mashine kweli ingawa bado sijabaatika kumuona
 
yeah Messi is a very good player...but to compare or even to try comparing him with the greatest like Pele, Maradona, Zidane, Ronaldo 'the phenomena', Ronaldhino et. al...it is absurd....until he wins the WORLD CUP then he can stand at same podium as the earlier mentioned greats...


Mkuu hebu tuwekee orodha ya very best players na definition yake?
 
Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee waulize Barca wenyewe wanaifahamu Arsenal inawafanyaga nini tuliwapiga magoli Emirates na mara tulipokwenda mechi ya marudiano refa aliwagongea tukacheza wachezaji 10. Hawa huwa wanatufanyia fitna kama unakumbuka hata golikipa alishapewa red card ili wao washinde lakini kwa Manure walifunga magoli ambayo hata mlivyobebwa hamjui mtatokea wapi.


BTW nyinyi mtashinda sana EPL kutokana na mtandao wa marefa wanaopokea bahasha kutoka kwa Fungie si unaona mwenyewe unakiri kwamba timu yenu mbovu. Nyie pamoja na Chelsick hamchekani moja mafioso mwingie bahasha na brown envelopes khe khe keeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Wwewe kibonde hebu acha kelele tumechukua champions league mara 3 wakati nyie ni wasindikizaji kila siku
 
Belo upo kaka vipi matanga? Naona ulikwenda kutafuta msosi kwa waombolezaji mambo ni aje?
 
Wwewe kibonde hebu acha kelele tumechukua champions league mara 3 wakati nyie ni wasindikizaji kila siku

Khe khe kheeeeeeeeeeee mavi ya kale hayanuki khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

BTW the pen name is Wacha1.
 
JAMANI PIQUE ANAFAIDII MHHHHHHHHHHHH


mwenyewe Pique ameniacha hoi..so hot!!..nimemwona Villa, Xavi kama sikosei hapo jukwaani..Shakira na Pique wanapendeza!!
bado sijawasamehe kwa kutufunga..agrrr!!
 
Last edited by a moderator:
mwenyewe Pique ameniacha hoi..so hot!!..nimemwona Villa, Xavi kama sikosei hapo jukwaani..Shakira na Pique wanapendeza!!
bado sijawasamehe kwa kutufunga..agrrr!!

Vipi bibie una fununu matanga yataisha lini?
 
Belo upo kaka vipi matanga? Naona ulikwenda kutafuta msosi kwa waombolezaji mambo ni aje?
Kamsaidie Mr Bean kutafuta wachezaji kule Ligue 1 msimu mjao mtaambulia kupigania nafasi ya Europa Cup
 
Kamsaidie Mr Bean kutafuta wachezaji kule Ligue 1 msimu mjao mtaambulia kupigania nafasi ya Europa Cup

Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee lakini Manure kazikwa na huyu dogo hapa chini nauliza tu matanga mtamaliza lini?


article-0-0C52161000000578-702_634x349.jpg







article-0-0C50BBE300000578-434_634x360.jpg

Usiwe mkali kwani wewe ndio kama huyu hapo juu?
Khe khe kheeeeeeeeeeeeeee ndio mkome ati tuliwaambia CL hakuna bahasha ..... ......
 
berbatov_1319540a.jpg

Majuto mjukuu .... ... vipi?
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



vandersar_1319393a.jpg

ED ACHE ... Edwin van der Sar and Ryan Giggs
reflect on Man Utd's final agony against Barca
 
davidvilla1_1319519a.jpg




MASTERCLASS ... David Villa celebrates netting Barca's
third to finally kill off Manure
khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nicheke mie .... ...
 
Back
Top Bottom