Ebanae Tunniclife, Morrison, Pogba na Kean ni noma alafu kuna mtoto mmoja anaitwa Ajose naye anakiputa kweli kweli, Joshua King nadhani msimu ujao atakuwa Ujerumani kwa mkopo.. Ravel Morrison akituliza kichwa ana future nzuri sana, ningependa sana kumuona yeye Tunnie na Pogba wakibreak kwenye first team.man u fans, madogo wetu wa walioshnda youth cup tuwapgie chapuo ktk talkreds saf awapange 1st team. Kuna ravel morrison-new rooney, kuna pogba-new vieira, kuna norwood-new beckam, kuna tunniclife-new roy keane, kuna will keane, king na adnaz. Hawa afta 2yrz hakuna timu dunian itakayotuletea mbwembwe.
![]()
Better than Maradona: Messi (right) fires home a brilliant
second to draw comparisons with the very best
Manchester United imefungwa na timu bora hakuna sababu za msingi mashabiki na manazi wote wa Man kusikitika, tumejitahidi kiasi cha kutosha sasa ni wakati wa kujenga timu upya hasa sehemu ya kiungo damu mpya ni lazima.
Ni kichekesho wapenzi wa Arsenal na Chelsea ghafla wamesahau Manchester United ni bingwa wao,nilitegemea Baba[ManUtd] akipata kibano watoto [Arsenal,Liverpol na Chelsea] wajiulize wao wangefanywa nini ?.
Ni ukweli ulio wazi Manchester United ya sasa haikuwa nzuri nilitegemea timu kama Arsenal na Chelsea wangetake advantage lakini wapi wameshindwa kutumia nafasi hiyo wasahau msimu unaokuja wasitegemee kutusogelea hata kidogo tutawaacha kwa points 20.
Huyo Pogba nasikia mashine kweli ingawa bado sijabaatika kumuonaEbanae Tunniclife, Morrison, Pogba na Kean ni noma alafu kuna mtoto mmoja anaitwa Ajose naye anakiputa kweli kweli, Joshua King nadhani msimu ujao atakuwa Ujerumani kwa mkopo.. Ravel Morrison akituliza kichwa ana future nzuri sana, ningependa sana kumuona yeye Tunnie na Pogba wakibreak kwenye first team.
yeah Messi is a very good player...but to compare or even to try comparing him with the greatest like Pele, Maradona, Zidane, Ronaldo 'the phenomena', Ronaldhino et. al...it is absurd....until he wins the WORLD CUP then he can stand at same podium as the earlier mentioned greats...
Wwewe kibonde hebu acha kelele tumechukua champions league mara 3 wakati nyie ni wasindikizaji kila sikuKhe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee waulize Barca wenyewe wanaifahamu Arsenal inawafanyaga nini tuliwapiga magoli Emirates na mara tulipokwenda mechi ya marudiano refa aliwagongea tukacheza wachezaji 10. Hawa huwa wanatufanyia fitna kama unakumbuka hata golikipa alishapewa red card ili wao washinde lakini kwa Manure walifunga magoli ambayo hata mlivyobebwa hamjui mtatokea wapi.
BTW nyinyi mtashinda sana EPL kutokana na mtandao wa marefa wanaopokea bahasha kutoka kwa Fungie si unaona mwenyewe unakiri kwamba timu yenu mbovu. Nyie pamoja na Chelsick hamchekani moja mafioso mwingie bahasha na brown envelopes khe khe keeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Wwewe kibonde hebu acha kelele tumechukua champions league mara 3 wakati nyie ni wasindikizaji kila siku
JAMANI PIQUE ANAFAIDII MHHHHHHHHHHHH
mwenyewe Pique ameniacha hoi..so hot!!..nimemwona Villa, Xavi kama sikosei hapo jukwaani..Shakira na Pique wanapendeza!!
bado sijawasamehe kwa kutufunga..agrrr!!
Kamsaidie Mr Bean kutafuta wachezaji kule Ligue 1 msimu mjao mtaambulia kupigania nafasi ya Europa CupBelo upo kaka vipi matanga? Naona ulikwenda kutafuta msosi kwa waombolezaji mambo ni aje?
Kamsaidie Mr Bean kutafuta wachezaji kule Ligue 1 msimu mjao mtaambulia kupigania nafasi ya Europa Cup