Aya waungwana....mm sina la kusema...asanteni kwa kampani yenu tangu msimu uanze hadi sasa...as far as am concerned JF kwangu nakuja kwa sbb ya Soka, hence, kwa kipindi hiki napumzika kwa mda...
Big up kwa fans wenzangu wa Manure, Eqlpz, Papizo, Mfarisayo, RR, ngongo, BJ, et al
Haters wa Manure ambao walikuwa wanachangamsha kijiwe Wacha1, rafiki zangu Mbu na AW..peasant na ab tchaz, pia kuna Mchungaji masa na BBK, na Michelle, MTN na Balantanda...na mavuvuzela wooote ambao tumewazoea kuchonga sana afu mwisho wa siku wanawai kwenda kulala...
Kila la kheri waungwana na likizo njema.
Manda Boy.
BTW Mwenye matokeo ya mechi ya jana CL final ani PM.
Mshamaliza kuwanga kwa kisingizio cha kutoa pole?
Maana wenye msiba tushamaliza kuomboleza sasa tunataka kuendelea na maisha ya kila siku.
Kuanzia saa nne asubuhi British Standard Time kutakuwa na Trophy Parade, MUTV watakuwa wanaonyesha live both kwenye tv na online kupitia kwenye hii address Manchester United Official Web Site - MUTV sina uhakika kama inabidi usign up ili kuweza kuona streams au la.
Picha kutoka mitaa ya Greater Manchester.
![]()
Mshamaliza kuwanga kwa kisingizio cha kutoa pole?
Maana wenye msiba tushamaliza kuomboleza sasa tunataka kuendelea na maisha ya kila siku.
SAF alikuwa anaimba "are you watching this merseyside?"... The irony is Leo ni birthday ya Steven Gerrard, must hurts kuwa kapteni kipindi ambacho arch rivals wako wanavunja record yenu.