Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hivi hawa Madrid wanajielewa kweli maana wao wametunyima kwa makusundi james wakamtoa kwa mkopo ,baado wamsmetufanyia najisi kwa morata harafu Wao Leo wanamtaka tena degea hivi ,kwann uhusiano wa timu yetu na Madrid uanadorola sana cku hizi ,juzi LA wakawa wangombea uwanja wa mazoezi
Wanaogopa kutuuzia silaha

Sent from my TECNO-C7 using JamiiForums mobile app
 
Wazee wenzangu hivi tukimpata matic na perisic na sisi tusitoe wachezaji,sio kwamba kutakuwa sana na mkanganyiko kwenye kuchagua kikosi au kutakuwa na ufinyu wa nafasi kwa baadhi ya wachezaji?..wachezaji kama lingard,carrick, fellaini,young,mata,martial,mhitaryan kocha atawapaje nafasi?

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Wazee wenzangu hivi tukimpata matic na perisic na sisi tusitoe wachezaji,sio kwamba kutakuwa sana na mkanganyiko kwenye kuchagua kikosi au kutakuwa na ufinyu wa nafasi kwa baadhi ya wachezaji?..wachezaji kama lingard,carrick, fellaini,young,mata,martial,mhitaryan kocha atawapaje nafasi?

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Tunacheza EPL, UEFA,FA,...
 
IMG-20170714-WA0042.jpg
 
Wazee wenzangu hivi tukimpata matic na perisic na sisi tusitoe wachezaji,sio kwamba kutakuwa sana na mkanganyiko kwenye kuchagua kikosi au kutakuwa na ufinyu wa nafasi kwa baadhi ya wachezaji?..wachezaji kama lingard,carrick, fellaini,young,mata,martial,mhitaryan kocha atawapaje nafasi?

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
De Gea mdomoni mwa Real
 
Back
Top Bottom