Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,133
- 48,851
Nemanja Matic hawezi ziba pengo la Carrick. Carrick mtu tofauti sana pale. Sii tuu kukaba kuintercept bali pasi zake zile za mafichoni. Mtu ambaye tukimpata itakuwa burudani pale ni Eric Dier. Dogo yuko vizuri sana.
Eric Dier anae ozea benchi kwa kukosa namba mbele ya Wanyama? Wekeni mahaba pembeni mnapoangalia wachezaji.