Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Huyu anapenda starehe ndiyo maana kitambo kafuga na tizi halipendi anaona sheeeda hata kuinuka
Bila kukazana na tizz namba mashakani
Bila kukazana na tizz namba mashakani
Hii tofauti ya muda haitamuacha mtu salama kabisaRATIBA YA MANUTD PRESEASON.
July 15
LA Galaxy v. Manutd saa 12 asubuhi
July 17
Real Salt Lake v. Manutd saa 12 asubuhi
July 20
ManCity * v. Manutd saa 11:30 asubuhi
July 23
Real Madrid* v. Manutd saa 7 usiku
July 26
Barcelona* v. Manutd saa 9:30 usiku
July 30
Valerenga v. Manutd saa 3 usiku
August 2
Sampdoria v. Manutd saa 4:45 usiku
*= subject to confirmation
Vipi Eric Dier thamani yake inacheza kwenye £ ngapi?Eric Dier kasema anataka kusepa Tottenham Hotspur na kwa kauli hiyo huwenda tukajikuta tunamchukua kirahisi sana.
Garry Neville Pia Kawaambia Man U wanamhitaji Matic katika safu yao ili wawe vizuri.
Blind na Smarling wanafukuziwa na Wagonga nyundo.
Polepole watakuja tu
Sent From Samsung S9 edge using JamiiForum mobile app
Man U walitoa ofa ya £ 60 ila Spurs wakasema hawamuuzi kwa bei yoyote ile ila taarifa zinadai anataka kuondoka nadhani pesa itapungua.Vipi Eric Dier thamani yake inacheza kwenye £ ngapi?
atacheza ngapiMan U walitoa ofa ya £ 60 ila Spurs wakasema hawamuuzi kwa bei yoyote ile ila taarifa zinadai anataka kuondoka nadhani pesa itapungua.
Sent From Samsung S9 edge using JamiiForum mobile app
Okay, ngoja tuone itakuaje. I hope mpaka week ijayo tutakua tumefanya usajili mwingine hata kama sio Dier.Man U walitoa ofa ya £ 60 ila Spurs wakasema hawamuuzi kwa bei yoyote ile ila taarifa zinadai anataka kuondoka nadhani pesa itapungua.
Sent From Samsung S9 edge using JamiiForum mobile app