Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Pogba akiwa na Lukaku USA!
App gan hii mkuu
Na kihistoria ndio timu ambayo haijawahi shuka kwenye ligi ya EPLWalituazima Rooney sasa tunawarudishia... Wametupa tena Lukaku... Duuuuuuuh... Mungu wabariki Everton wasishuke daraja...Na wasijali Baada ya miaka 8 tunawarudishia tena... GGMU![]()
Hata mim niwekeni jamani +254 792 196 892Jaman Kama kunagroup la Chama letu la whatsapp niweken jaman 0658016677
Wakuu ombeni watu watupie link za group au ulizeni kama kuna admin ili mmpe number pm,naona kama kuexpose number hapa haijakaa fresh.Ni maoni yangu tu lakini.Hata mim niwekeni jamani +254 792 196 892