Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama Inter hawataki kumuuza Ivan Perisic basi jibu ni Nainggolan

Screenshot_2017-06-27-14-04-31.png
 
I love matic, akasaidiane na herrera pale kati tulikuwa tunapwaya sana! Ivi Chelsea kwann wamemuacha uyu jamaa. Mbona naona ni mzuri? Anyway acha waoane msimu ujao
Hawa vishoka (ulaya mashariki )wamekuwa watu wa kuzalisha viungo bora sana miaka hii tizama kina modric kova na huyu ukenda inter basi hitajio lao ni kubwa
 
I love matic, akasaidiane na herrera pale kati tulikuwa tunapwaya sana! Ivi Chelsea kwann wamemuacha uyu jamaa. Mbona naona ni mzuri? Anyway acha waoane msimu ujao
Matic alikuwa anafit kwenye mfumo wa Mourinho (4-3-3 au 4-4-2) while Conte anatumia mfumo wa (3-4-3 au 3-5-2) ambao Matic anapwaya
 
Back
Top Bottom