Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Yeah sure maana CR 7 wasasa hatakuwa na tofauti kubwa na Zlatan.Pia soka la laliga lipo soft na linaendana na umri wake ukilinganisha na EPL.Wanazi wenzangu wa Man U siungu mkono kabisa ujio wa Ronaldo.
Yeah sure maana CR 7 wasasa hatakuwa na tofauti kubwa na Zlatan.Pia soka la laliga lipo soft na linaendana na umri wake ukilinganisha na EPL.
Josee kaamua kupimana ubavu na perezi, not such bad at the end wataafikiana,,si morrata wala de gea mwenye thamani tajwa,,
Kwangu mimi kiungo mkabaj anatakiwa aje bakayoko, tallisca, reynato, fabinho au dier na sio matic, siping uwezo wake ila hua siwakubal holding wanaotumia left foot zaid, bora kiduku wa roma
Wanazi wenzangu wa Man U siungu mkono kabisa ujio wa Ronaldo.
Wanazi wenzangu wa Man U siungu mkono kabisa ujio wa Ronaldo.
Ni ujuha wa hali ya juu kumrudisha cr 7 hapo OTRonaldo ataboreshewa mkataba wake,baada ya Messi kusaini mkataba mpya.
Ujuha ndio nn sasaNi ujuha wa hali ya juu kumrudisha cr 7 hapo OT
Akatafute pengine,pale ngoja tutengeneze timu ya under 25 tupu!Wanazi wenzangu wa Man U siungu mkono kabisa ujio wa Ronaldo.