Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,505
- 911,249
Takwimu yangu imebase ktk mechi zote nilizoangalia. Hata ww kama uliangalia mechi nyingi utakuwa umeliona ili.Ninaomba takwimu
Watafungwa kiulaini kabisa cheza na JoseWakuu UEFA super cup ndio tushamjua tutakaepambana naye, je kuna chance yoyote ya kuwashinda hawa jamaa, maana huu moto wao sio kabisa asee. Anyways katika soccer kitu chochote kinaweza kutokea, nani alitegemea leo Juventus wangekuwa mdebwedo hivi.
Hadi hasira.
Takwimu yangu imebase ktk mechi zote nilizoangalia. Hata ww kama uliangalia mechi nyingi utakuwa umeliona ili.

Aje ushindani musimu ujao ni kiboko
Kabisa,na yule Varane ni zao la Mou so nadhani pia atatusaidia ZaidiKabisa yani watupe morata na varane plus ela ya juisi tuwape de gea hakuna matata
Leo Madrid wamecheza Mpira Mwingi sana lakini Pongezi nyingi sana kwa Kocha Zinadine Zinade aliyeandika historia mpya leo barani Ulaya,maamuzi ya kutumia Viungo Zaidi ya wanne pale kati yamewapoteza Juve na kuifanya fainal kuwa nyepesi tofauti na tulivyotegemea.Wakuu UEFA super cup ndio tushamjua tutakaepambana naye, je kuna chance yoyote ya kuwashinda hawa jamaa, maana huu moto wao sio kabisa asee. Anyways katika soccer kitu chochote kinaweza kutokea, nani alitegemea leo Juventus wangekuwa mdebwedo hivi.
Hadi hasira.
Goti kwa umri wake huo ni uamuzi sahihi na hiyo inathibitisha striker no.9 kesha patikana imebakia kumtangaza tu
Smalling na Jones hawatapata namba hata benchi sina uhakikaSmalling & jones vs ronaldo & bale/assensio
![]()
![]()
![]()
![]()
Usisahau usajili mpya ambao utaanikwa hadharani hivi karibuniKabisa,na yule Varane ni zao la Mou so nadhani pia atatusaidia Zaidi
Leo Madrid wamecheza Mpira Mwingi sana lakini Pongezi nyingi sana kwa Kocha Zinadine Zinade aliyeandika historia mpya leo barani Ulaya,maamuzi ya kutumia Viungo Zaidi ya wanne pale kati yamewapoteza Juve na kuifanya fainal kuwa nyepesi tofauti na tulivyotegemea.
Nijibu swali lako,kwenye Super Cup tunacheza na Madrid hii au Madrid yenye mabadiliko sehemu chache lakini nikuhakikishie Mou hajawahi kuniangusha katika ujenzi wa Ukuta na mfumo wa kujilinda.
Tuone usajili unaenda Vipi lakini tayari tuna Mtu mgumu pale kari Baily,tuna Muhuni Marcus Rojo,tuna kiungo mgumu,jeuri na Fundi Herera, tunahitaji Kiungo mmoja mgumu na katili aina ya Roy keen, na Mshambuliaji mmoja mwenye mapafu ya Mbwa atakayesaidiana na Marcus Rashford.
Sina tatizo na Full back zetu,Valencia na Darmian kama at a endelea kuaminiwa na kubaki pale Old T.
Tegemea mabadiliko makubwa sana kimchezo atakayokuja nayo Pogba.
Kazi ya Kumzuia Huyu Isco itafanywa na Herera, kumbuka mwakani Madrid inaweza kuwa na Hazard na De Gea.
Jamaa kurudi uwanjani ni mpaka january mwakani.Goti kwa umri wake huo ni uamuzi sahihi na hiyo inathibitisha striker no.9 kesha patikana imebakia kumtangaza tu
Dah huyu Jones majeruhi yanaua career yake,jamaa mzuri sana.Smalling na Jones hawatapata namba hata benchi sina uhakika
Jones ana bahati Mbaya,kipaji chake kimeharibiwa na Majeruhi ya mara kwa mara na ya muda mrefu hivyo kushindwa kudumu uwanjani lakini ni aina ya wachezaji Wenye roho ngumu wanapokuwa uwanjani.Smalling na Jones hawatapata namba hata benchi sina uhakika
Hii hata mimi nakataa... I think kati ya hawa atakua mmoja wao au wote!