ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,428
- 24,145
aliuweza aseno sie tutaushindwajeVipi ndugu zangu mtauweza mfupa uliomshinda Juve? Hahahaaa
Hakunaga tena kama Madrid dunia hii.
RRONDO radika kisu cha ngariba sister n.k
aliuweza aseno sie tutaushindwajeVipi ndugu zangu mtauweza mfupa uliomshinda Juve? Hahahaaa
Hakunaga tena kama Madrid dunia hii.
RRONDO radika kisu cha ngariba sister n.k
dah mie nasubilia dakika 90 tu.Vipi ndugu zangu mtauweza mfupa uliomshinda Juve? Hahahaaa
Hakunaga tena kama Madrid dunia hii.
RRONDO radika kisu cha ngariba sister n.k
itakuwa lini??? mana sijaelewa hii super cup.wadau super cup iyo inakuja toeni mawazo basi
bingwa wa uefa vs bingwa wa europa tarehe 8 mwezi wa 8itakuwa lini??? mana sijaelewa hii super cup.
kumbe ndiyo inakuwa hvyo, asante.bingwa wa uefa vs bingwa wa europa tarehe 8 mwezi wa 8
Mwezi wa nane, bingwa wa UEFA Champion league (Real Madrid) Vs Bingwa wa EUROPA league ( Man united)itakuwa lini??? mana sijaelewa hii super cup.
watapigwa pin la kufa mtu hutaamin iyo siku tena hapo na usajili tushafanyakumbe ndiyo inakuwa hvyo, asante.
tujiandae tu vyema.
Tutakua tumeshafanya usajili wa nguvu na kuziba mapengo yetu yotebingwa wa uefa vs bingwa wa europa tarehe 8 mwezi wa 8
mi nashangaa barca mbovu na waliwafunga kwann sisi tushindweTutakua tumeshafanya usajili wa nguvu na kuziba mapengo yetu yote
Madrid kwa kocha mwenye mbinu kama mou mbona wanafungika tu
Maneno meeeengi duuh ! Mlichukua ubingwa wa epl sasa? Hilo super cup inakupa jeuri nini?Kabisa,na yule Varane ni zao la Mou so nadhani pia atatusaidia Zaidi
Leo Madrid wamecheza Mpira Mwingi sana lakini Pongezi nyingi sana kwa Kocha Zinadine Zinade aliyeandika historia mpya leo barani Ulaya,maamuzi ya kutumia Viungo Zaidi ya wanne pale kati yamewapoteza Juve na kuifanya fainal kuwa nyepesi tofauti na tulivyotegemea.
Nijibu swali lako,kwenye Super Cup tunacheza na Madrid hii au Madrid yenye mabadiliko sehemu chache lakini nikuhakikishie Mou hajawahi kuniangusha katika ujenzi wa Ukuta na mfumo wa kujilinda.
Tuone usajili unaenda Vipi lakini tayari tuna Mtu mgumu pale kari Baily,tuna Muhuni Marcus Rojo,tuna kiungo mgumu,jeuri na Fundi Herera, tunahitaji Kiungo mmoja mgumu na katili aina ya Roy keen, na Mshambuliaji mmoja mwenye mapafu ya Mbwa atakayesaidiana na Marcus Rashford.
Sina tatizo na Full back zetu,Valencia na Darmian kama at a endelea kuaminiwa na kubaki pale Old T.
Tegemea mabadiliko makubwa sana kimchezo atakayokuja nayo Pogba.
Kazi ya Kumzuia Huyu Isco itafanywa na Herera, kumbuka mwakani Madrid inaweza kuwa na Hazard na De Gea.
We jifariji tuWatafungwa kiulaini kabisa cheza na Jose
20:30Mkuu Rutashubanyuma,testimonial ya pass master Carrick ni muda gani? Au yeyote mwenye kufahamu hili
Asante mkuu20:30
Christiano Ronaldo tulitoa pesa, sembuse de geaKumchukua De Gea itabidi watupe Varane, Morata na Rodriguez