Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa hiyo? Manutd walimsajili Bebatov na Louis Saha wenye uzoefu wa kufunga magoli ndani ya EPL lakini matokeo yake hawakuwahi kushinda golden boot!

Akaja Ruud Van Nisteroy kutoka ligi ya Everstite rekodi yake ya kufunga bado inakumbukwa iwe EPL au Champions ligi

My point treat each case as unique because the past experiences of other players irrelevant

Na sio guarantee kuwa ukimleta mchezaji bora wa ligi fulani lazima awike..
 
Huyooo kaponyoka

Screenshot_2017-06-02-19-05-12.png
 
Upo sahihi Griezman sio completely namba 9 ye ni namba kumi Zaidi, lakini faida yake anacheza namba,9,10,11,7 na mara chache namba 8 lakini kwenye hii hayupo vizuri sana.

Ila kama akisijiliwa sio mbaya itategemea na mifumo ya Kocha,tunaweza mtumia kama False striker kama Kocha atatumia washambuliaji wawili.

Na vilevile anaweza kutumika kama kiungo mshambuliaji kama Kocha ataamua kuua namba tisa na kuwa na Viungo Zaidi ya watatu mfumo ambao Mourihno ameutumia sana msimu huu kwa kuuwa wing moja hasa no.7.
Pia anaweza mchezesha kama LWB
 
Belloti nimemutazama mbona siwakiwango kile cha kutisha..

Perisic yupo vizuri mno!!

Bellotti ataishia kama mwenzake aliyeenda kumrithi lewandosky pale Dortmund ciro Immobile sasa hivi ni wa kawaida tu karudi lazio.Alianza vizuri Torino kwa kasi kawa mfungaji bora kashindwa kuwika nje.Sikutegemea kama Kiko(macheda)angechezea serie B,Tulikuwa na game Cesena na Novara nikamuona jamaa ndiye striker wako naye kashuka sana japo ndiye aliyetufunga goli la ushindi.United kama watamchukua Perisic au brozovic wote wachezaji wa inter jamaa wapo vizuri kwa mfuatiliaji wa Serie A hata na yule wa Madrid amenunuliwa kwa hela nyingi lakini ni benchi la modric.hawa jamaa wa Croatia wana wachezaji viungo wazuri.
 
Back
Top Bottom