Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu umeongea maneno mengi na umejitahidi kujielezea. Nimekubaliana na baadhi ya uliyoyaandika,ila hapo juu sijakubaliana na ww au niseme sijakuelewa. Ni kweli ni wazuri kuliko Pogba au performance zao za msimu huu ulioisha ni nzuri kuliko Pogba?
Thamani ya Pogba wataijua musimu ujao
 
Unazungumza mwaka jana,mwaka huu au wakati Pep akiwa anafundisha Barca ?

Sent from my NokiaX2DS using JamiiForums mobile app
Wewe Belo wewe! Hizi post zako mbili zinaonyesha kama una mwa- under rate Busquet. Nakuambia na kukuakikishia siku ambayo Busquet hachezi barca inakuwa katika hali mbaya sana. Hata game ya kwanza dhidibya Juventus jamaa hakuwepo na ndio sababu ya kipigo cha pale turin. Angekuwepo juve walikuwa na kazi ngumu sana.

Busquet ni mchezaji mzuri tangu enzi za Gandiola, Vilanova, Tata Martino mpaka Lucho.
 
Jaribuni kuweka baadhi ya maneno rehani. Musimu ujao utawashangaza wengi
 
Lucas Perez kachoka kukaa benchi.
 
Busquet alingaa sana kipindi Pep akiwa kocha,Pep alitengeneza timu kupitia (Xavi+Busquet+Iniesta) baada ya kuondoka kiwango chake kimeshuka umri umeenda amechoka na hajawahi kuwa na back-up uliona game ya PSG alivyokimbizwa na kina Verrati .Mfumo wa Barca ulikuwa unamtegemea yeye so ukimbana yeye au asipokuwepo lazima timu ife.Mfumo wa Luis Enrique uliwategemea (Messi +Suarez+Neymar),Juventus waliweza kuwabana MSN so hata Busquet angekuwepo asingefunga goli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…